MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Someeni fani zisizo maarufu – mwalimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Someeni fani zisizo maarufu – mwalimu
Habari

Someeni fani zisizo maarufu – mwalimu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MWALIMU wa fani ya useketaji ambayo ni utengenezaji wa vitambaa vya nguo,vikoi kutoka Mamlaka ya Mafunzo na Ufundi Stadi ( VETA), Chuo cha Tabora,  Diana Mlengeki amewaasa vijana kusoma fani ambazo siyo maarufu kwa kuwa ndioi zenye fursa kubwa ya ajira.
Mlengeki amesema hayo jijiji Dodoma kwenye  maonesho ya wakulima,  wafugaji na Wavuvi yanayoendelea.
Amesema vijana wengi wamekuwa wakikimbilia kusoma fani ambazo ni maarufu kama vile ufundi wa magari,umeme na fani nyingine mwisho wa siku anashindwa hata kujiajiri ama kuajiriwa.
Amesema fani kama ya  useketaji  ambayo inafundisha kutengeneza vitambaa vya aina mbalimbali kwa kutumia nyuzi za pamba au nyuzi zozote haina umaarufu lakini ina fursa kubwa ya ajira hata za binafsi.
“Vijana wengi wanakimbilia kujifunza fani za umeme au magari ambazo ni fani maarufu kwa hiyo unakuta hata ajira ikutangazwa inahitaji watu wawili lakini waombaji wanakuwa hata zaidi ya 1,000,sasa hii ni changamoto,” amesema.
Mlengeki amesema,katika chuo hicho wana mashine ndogo na mashine kubwa ambapo unaweza kutengeneza ‘table mart’ na mitandio ambapo  mashine kubwa hutumika kutengeneza vitambaa vya kushonea magauni au mashati na vikoi .
Amesema wao wamelenga kufundisha vijana wa kitanzania ili waweze kujiajiri huku akisema kama viwanda vya hapa nchini  vya nguo na nyuzi vingekuwa vinafanya kazi vizuri basi wanaotoka VETA ndio wangekuwa wataalam katika viwanda hivyo.
Amesema mashine ndogo inapatikana kwa  150,000 na inaweza kutengeneza mitandio miwili kwa siku ya mita mbili mbili na mashine kubwa ambayo huuzwa kwa  milioni 1.5 hutengeneza mitandio  hadi saba  kwa siku.

You Might Also Like

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani, Mwenyekiti wa CCM Pwani, wawanadi wagombea wa CCM

CWT Yaiomba Serikali Kurekebisha Sheria za Vyama vya Wafanyakazi

Rita Kabati Aahidi Kuimarisha Miundombinu, Kuwatumikia Wananchi Wa Kilolo

Serikali Yachukua Hatua Madhubuti Kukuza Ajira kwa Wahitimu wa Vyuo

Ndejembi Ashuhudia Utiaji Saini Wa Mkataba Wa Sh Bilioni 204.7 Wa Mradi Wa Umeme Wa Jua Wa Megawati 100 Kishapu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Udongo wa kupandia mboga mboga unapatikana VETA
Next Article Tume ya umwagiliaji yapambana kuinua kilimo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mradi Wa Umeme Mpomvu-GGM Kuimarisha Upatikanaji Wa Umeme Na Kuchochea Shughuli Za Kiuchumi Geita- Salome
Habari September 4, 2026
Wahitimu 794 Wa Vyuo Vya Elimu Ya Juu Waomba Kujiunga VETA
Habari September 4, 2026
Taka za saluni zageuka dhahabu ya kijani: COSTECH yamulika safari ya David kutoka wazo hadi hataza
Makala September 4, 2026
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wakazi Wa Kisiwa Cha Jibondo Mafia
Habari September 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?