MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Udongo wa kupandia mboga mboga unapatikana VETA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Udongo wa kupandia mboga mboga unapatikana VETA
Habari

Udongo wa kupandia mboga mboga unapatikana VETA

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MAMLAKA ya Elimu na Ufundi Stadi (VETA)  imetengeneza teknolojia ya udongo wa kuoteshea mazao ya bustani  na mbogamboga ili kumpunguzia mkulima gharama za kilimo kwa lengo la kuongeza  tija katika kilimo na jamii kwa ujumla.
Ofisa Ufuatiliaji na Tathmini ya Mafunzo VETA, Joseph Kimako amesema hayo
kwenye maonesho ya wakulima, wafugaji na Wavuvi yanayoendelea Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.
Amesema wanaonyesha teknolojia hiyo kwa kuwa udongo huo wa kuoteshea unaouzwa maduka ya kilimo umekuwa ukitoka nje ya nchi hivyo kuuzwa kwa gharama kubwa.
“Teknolojia hii ni rahisi ambapo tunachukua udongo wa msituni tunachanganya na samadi ya ng’ombe na pumba za mpunga na baada ya hapo tunawekwa kwenye mtambo unaochemsha maji ili kuua masalia ya magugu na wadudu.”amesema.
Amesema udongo kama huo unaouzwa kwenye maduka ya pembejeo unatoka nje ya nchi lakini virutubisho vinavyopatikana ndani yake ,vipo kwenye malighafi zinazopatikana hapa nchini.
“Kwa hiyo hili ni moja ya zao ambalo linapatikana kwenye fani zetu tatu za kilimo tunazozitoa VETA ambazo ni fani ya zana na mitambo ya kilimo ,fani ya mazao ya bustani na fani ya uzalishaji kwenye kilimo.”amesema.
Kwa mujibu wa  Kimako ,wameamua kwenda na teknolojia hiyo kwenye maonesho hayo  kuonesha udongo huo unapatikana hapa nchini.
Amesema sababu za kutengeneza teknolojia hiyo ni kumsaidia mkulima
aweze kupata mafunzo ya kutengeneza udongo huo ili alime kwa tija.
Amewashauri wakulima kwenda VETA kujifunza namna nzuri ya kutengeneza udongo huo ili kupunguza gharama za kwenye kilimo lakini mwisho wa siku watalima kwa tija.

You Might Also Like

Asisitiza Umuhimu Wa Kukamilisha Miradi Kwa Mujibu Kuzingatia Mikataba

‘Skills For Their Future’ Yanufaisha Wanafunzi Zaidi Ya 1000, Walimu 64 

Baraza la uuguzi na ukunga lawakaribisha wenye malalamiko

Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti

JOWUTA Yakutana na Waziri Ridhiwani, Kamishna wa Kazi Kujadili Changamoto za Wanahabari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wazazi washauriwa kusomesha watoto useremala
Next Article Someeni fani zisizo maarufu – mwalimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mradi Wa Umeme Mpomvu-GGM Kuimarisha Upatikanaji Wa Umeme Na Kuchochea Shughuli Za Kiuchumi Geita- Salome
Habari September 4, 2026
Wahitimu 794 Wa Vyuo Vya Elimu Ya Juu Waomba Kujiunga VETA
Habari September 4, 2026
Taka za saluni zageuka dhahabu ya kijani: COSTECH yamulika safari ya David kutoka wazo hadi hataza
Makala September 4, 2026
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wakazi Wa Kisiwa Cha Jibondo Mafia
Habari September 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?