MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Katibu Mkuu Uchukuzi Aipongeza TASAC,  Kuelimisha Wananchi 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Katibu Mkuu Uchukuzi Aipongeza TASAC,  Kuelimisha Wananchi 
Habari

Katibu Mkuu Uchukuzi Aipongeza TASAC,  Kuelimisha Wananchi 

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: KATIBU Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Profesa Godius Kahyarara, leo Juni 22, 2026 ametembelea banda la Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) katika Maonesho yanayoendelea kwenye viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma.
Akiwa katika banda hilo, Profesa Kahyarara alipatiwa maelezo kuhusu juhudi za TASAC katika kuhakikisha usalama, ulinzi na ubora wa huduma za usafiri wa majini kwa wananchi.
Habari Picha 12582
Baada ya kupata maelezo hayo, Profesa Kahyarara aliipongeza TASAC kwa kushiriki maonesho hayo na kutumia jukwaa hilo kutoa elimu kwa wananchi kuhusu majukumu na huduma zake.
Amesema elimu hiyo inasaidia kuongeza uelewa wa umma na kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi na wananchi.
Maonesho hayo yenye kauli mbiu isemayo “Kuchochea Uwajibikaji Jumuishi kwa Huduma Endelevu” yalianza rasmi Juni 16, 2026 na yanatarajiwa kufikia tamati kesho Juni 23, 2026.

You Might Also Like

CMA yawataka wafanyakazi walioachishwa kazi kuwasilisha mgogoro ndani ya muda

Rais Samia akunwa na Tarura

Samia Azindua Shule ya Msingi ya Mchepuko wa Kiingereza Songea

Tumeanza Kufanyia Kazi Maelekezo Ya Rais Samia – Bashungwa

Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Qwaray Aipongeza VETA kwa Kukuza Ujuzi wa Vijana
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Qwaray Aipongeza VETA kwa Kukuza Ujuzi wa Vijana
Habari June 22, 2026
Mkomi Atembelea Banda la PSSSF
Habari June 22, 2026
PSSSF Yapongezwa kwa Kutoa Elimu ya Hifadhi ya Jamii Wiki ya Utumishi wa Umma
Habari June 22, 2026
PDPC  Yashauriwa Kutoa Elimu Kuhusu Taarifa Binafsi 
Habari June 22, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?