MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kisima Kimoja Cha Gesi Chaonesha Mshangao Kwa Uzalishaji Wa Gesi-PURA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kisima Kimoja Cha Gesi Chaonesha Mshangao Kwa Uzalishaji Wa Gesi-PURA
Habari

Kisima Kimoja Cha Gesi Chaonesha Mshangao Kwa Uzalishaji Wa Gesi-PURA

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu,Dodoma
MAMLAKA Ya Udhibiti Mkondo Wa Juu Wa Petroli (PURA) imesema imekamilisha uchimbaji wa kisima kimoja cha uchimbaji gesi cha Mnazi Bay Mtwara ambacho kimeonesha maajabu kwa kuwa na uwezo wa kuzalisha gesi futi za ujazo milioni 45 Kwa siku.

Habari Picha 11856

Mkuu wa Kitengo Cha Ushirikishwaji wazawa na  Uhusishwaji wadau kutoka PURA,Charles Nyangi amesema hayo wakati akitoa taarifa Kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, anayeshughulikia mafuta na Gesi asilia Dkt James Mataragio alipotembelea Banda la Mamlaka hiyo katika wiki ya Nishati inayoendelea katika viwanja vya Bunge.

Amesema uchimbaji wa visima ni hatua iliyokuwa ikitekelezwa na Mamlaka hiyo na kwamba kisima hicho kilichokamilika awali kilitarajiwa kuzalisha futi za ujazo milioni 20 Kwa siku jambo ambalo limekuwa ni tofauti na matarajio.
“Imekuwa ni mshangazo mkubwa kwetu, na hii ndio inaonyesha kuwa ipo akiba kubwa ya gesi nchini,” amesema Nyangi na kuongeza kuwa kisima lingine linaendelea na hatua za uchimbaji.

Habari Picha 11857

Amesema kisima hicho kimebakia mita 1500 kukamilika na kwamba hatuabalimbali za utafiti wa gesi zinaendelea katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
ipo akiba kubwa ya gesi,ikiwa ni baada ya kukamilika

You Might Also Like

Ridhiwani Apongeza Kurudi Kwa Gazeti La Mfanyakazi TANZANIA

Kipanga: Lugha ya Kichina Inakuza Diplomasia, Kuimarisha Uhusiano

Wanafunzi Wawili Wajiteka Ili Wapate Pesa Toka Kwa Wazazi wao

Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi

Tanzania Kwa Mara Nyingine Mwenyeji Kongamano La eLearning Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Next Article ‘Upungufu wa Wakunga Afrika Watishia Maisha ya Mama na Mtoto ‘TAMA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaingia Makubaliano Ya Ushirikiano Na DIT Kuimarisha Usimamizi Wa Mataifa
Habari June 8, 2026
Wananchi Waelimishwa Masharti ya Kubadilisha Noti Zilizochakaa, Kuungua na Kuchanika
Habari June 7, 2026
DMI Yawaalika Vijana Kujiunga Na Masomo Ya Ubaharia
Habari June 6, 2026
Taifa Gas Yaendelea Kuongoza Kampeni ya Nishati Safi kwa Taasisi na Sekta ya Utalii Tanzania
Habari June 6, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?