MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala
Habari

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amejiandikisha katika Daftari la Mpigakura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.
Majaliwa ambaye alifuatana na mkewe Mary Majaliwa, amejiandikisha leo Jumamosi, Oktoba 19, 2024 kwenye Shule ya Msingi Nandagala iliyopo kitongoji cha Nanguruwe, Kata ya Nandagala, wilayani Ruangwa pamoja na wanakijiji  wengine walifika kituoni hapo.
Akitoa taarifa ya uandikishaji, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Ruangwa, Frank Chonya amesema wilaya ya Ruangwa ina tarafa tatu, kata 22, vijiji 90 na vitongoji 435 ambavyo vitahusika kwenye uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Vijiji.
Amesema wilaya hiyo imekadiria kuandikisha wakazi 123,803 ambapo kati yao 60,188 ni wanaume na 63,615 ni wanawake.
“Hadi kufikia Oktoba 18, 2024, tumefanikiwa kuandikisha jumla ya watu 103,468 ambapo kati yao wanaume ni 47,664 na wanawake ni 55,804,” amesema.
Amesema zoezi uandikishaji huo unaendelea hadi kesho Oktoba 20, 2024 saa 12 jioni.
Akizungumza na wananchi waliokuwepo kwenye kituo hicho, Waziri Mkuu ambaye pia ni Mbunge wa Ruangwa, amewashukuru viongozi wa Serikali za Vijiji wa Kata ya Nandagala kwa kuhamasisha watu wajitokeze kujiandikisha na kuifanya kata hiyo iwe ya kwanza kwa uandikishaji katika jimbo hilo.
“Kazi ya uandikishaji inaendelea nchi nzima na mwisho wa uandikishaji ni kesho. Tuwahimize wengine ambao bado hawajajiandikisha, nao pia waje kujiandikisha,,” amesema.

You Might Also Like

Zena Ahmed Said Aitaka NSSF Kuimarisha Uhamasishaji wa Uwekezaji kwa Umma

MBUNGE wa Kasulu Mjini Ahoji Serikali Kuhusu Mradi wa Maji Mwanga B

Massawe Achukua Fomu Kugombea Udiwani Goba

Hatuwezi Kukwepa Matumizi Ya Bioteknolojia – Dkt.Nguvila

Majaliwa Afanya Harambee Ya Mei Mosi 2025

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Aongoza Majadiliano Ya Taarifa Ya Utekelezaji Wa Majukumu PSSSF
Next Article Masauni Akabidhi Polisi Magari 77
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?