Na Lucy Lyatuu
WANANCHI wameshauriwa kuzifikia taratibu za ujenzi ili kuepusha kupata madhara kama maafa lakini pia kuepuka hasara za ujenzi.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ujenzi ya The Line Group,Hatibu Iddi Jumaa amesema hayo nkatika viwanja vya maonesjonya 50 ya biashara maarufu lama sabasaba na kuongeza kuwa ni muhimu watalaam wa ujenzi kuhusishwa kuanzia hatua ya kwanza.
Aidha amewashauri wananchi pia kutembelea wataalam tofautitofauti wa ujenzi ambao watawasaidia kuwaelimisha kuhusu dhana nzima ya ujenzi.
“Ni muhimu kuwafikia watalam wa ujenzi ambao pia ni wabunifu,ambapo watatoa elimu na ushauri kuhusu mapato na matimizi ,” amesema Jumaà ambaye ni msanifu majengo na mkadiriaji majenzi.





