MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari

Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

WANANCHI wameshauriwa kuzifikia taratibu za ujenzi  ili kuepusha kupata madhara kama maafa lakini pia kuepuka hasara za ujenzi.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ujenzi ya The Line Group,Hatibu Iddi Jumaa amesema hayo nkatika viwanja vya maonesjonya 50 ya biashara maarufu lama sabasaba na kuongeza kuwa ni muhimu watalaam wa ujenzi kuhusishwa kuanzia hatua ya kwanza.
Aidha amewashauri wananchi pia kutembelea wataalam tofautitofauti wa ujenzi ambao watawasaidia kuwaelimisha kuhusu dhana nzima ya ujenzi.
“Ni muhimu kuwafikia watalam wa ujenzi ambao pia ni wabunifu,ambapo watatoa elimu na ushauri kuhusu mapato na matimizi ,” amesema Jumaà ambaye ni msanifu majengo na mkadiriaji majenzi.
Habari Picha 12861
Habari Picha 12862
Habari Picha 12863
Habari Picha 12864

You Might Also Like

MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15

Makumbuli: Tunapinga kilimo cha bangi na mirungi

Mjadala wa Kidiplomasia Ya Kisayansi Wafanyika Marekani

TVLA Yazalisha Chanjo ya Kudhibiti Homa ya Kutupa Mimba kwa Mifugo

Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article
Next Article Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

VETA -Dakawa Kufundisha Namna Ya Kutunza  Mifugo Kupandisha Thamani Ya Ngozi
Habari August 28, 2026
“Tumejiandaa Vyema Kuzifikia Fursa Za Afcon Kupitia Utalii”-VETA
Habari August 28, 2026
VETA Yaonesha  Mavazi, Bidhaa Za  Utamaduni Kwa Umahiri Katika Tamasha La Utamaduni
Habari August 28, 2026
TPHPA yawataka wakulima, wafanyabiashara kulinda ubora wa mazao, yafungua soko la viazi Zambia
Habari August 27, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?