MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Diwani Kata Ya Majengo Awasihi Wananchi Kufanya Kazi Kwa Bidii
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Diwani Kata Ya Majengo Awasihi Wananchi Kufanya Kazi Kwa Bidii
Habari

Diwani Kata Ya Majengo Awasihi Wananchi Kufanya Kazi Kwa Bidii

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu, Dodoma

DIWANI wa Kata ya Majengo mkoani hapa Nicholaus Msemo amewataka wakazi wa eneo hilo kuacha kulalamika bali wafanye kazi kwa bidii bila kuchagua huku wakizingatia nidhamu ya fedha.
Amesema hayo wakati akizungumza na gazeti  la Mfanyakazi kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya kata hiyo katila siku 100 baada ya uchaguzi mkuu.
Amesema pamoja na mipango  na mikakati ya maendeleo aliyopanga kufanya katika kata hiyo lakini pia  ni muhimi kwa wakazi wa eneo hilo kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii  ili kujikwamua kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
“Ni muhimu kuacha kulalamika, kwamba kazi hii haifai mara ile ndio  imayofaa, ni vyema wananchi  kujikita kufanya kazi kwa bidii lakini pia kuwa na nidhamu ya fedha kwa kuitumia katika masuala ya msingi, ” Amesema Msemo na kuongeza kuwa nia yake ni wananchi kupewa elimu ya mikopo na kufanya kazi kwa bidii.
Habari Picha 11273
Kuhusu siku 100 baada ya uchaguzi amesema  ameondoa kero ya malipo kwa wananchi wake wanapohitaji huduma  yoyote kutoka serikali za mitaa ambapo gharama zote atahudumia yeye diwani.
“Ilikuwa ni kero kwa wananchi maana wakati mwingine walipohitaji huduma sio wote waliokuwa na fedha kwa ajili ya kulipia huduma hizo kama kupata barua za utambulisho, ” Amesema Diwani Msemo na kuongeza kuwa   hata malipo yanayotakiwa kwa wanafunzi wa madarasa ya mitihani  katika Kata hiyo atakuwa akiwajibika yeye.
Amesema katika siku 100 ameweza kukarabati shule ya msingi na sekondari iliyopo katika Kata na kwamba changamoto yaaji taka inaendelea kufanyiwa kazi.

You Might Also Like

Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania

TALGWU Taifa Yataja Kero Saba Kubwa za Watumishi wa Serikali za Mitaa

Ridhiwani Azindua Mifumo Ya Kielektroniki Na Miongozo YA Kazi, Ajira, Ulemavu

Wananchi Wafurika Banda la REA Kupata Majiko Ya Bei Nafuu Maonesho ya Madini Geita

TAKUKURU, Manispaa Ubungo Yawafikia Waendesha Bajaji, Bodaboda

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yalenga Kufikia Asilimia 51 Ya Ushiriki Wa Wanawake Katika Sayansi
Next Article VETA Yaondoa Sare Kwa Wanafunzi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
Ofisi Ya Taifa Ya Takwimu  Kufanya Tafiti Kwa Wakala Wa Huduma Za Fedha,Viwandani
Habari March 12, 2026
GCLA  Yanunua Mitambo Mikubwa Inayogharimu Sh Bil 32.25 Kuimarisha Uchunguzi Wa Sampuli
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?