MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 
Habari

Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WIZARA na Taasisi mbalimbalii zilizopo  nchini zimeagizwa kuitumia Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, zinapotaka  kufanya mapitio au utafiti wa Sheria zao.
Kwa kuwa kutofanya hivyo ni kukiuka Sheria na taratibu kwani Tume hiyo imeundwa kwa kazi hiyo.
Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Paramagamba Kabudi ametoa agizo hilo alipokuwa akipokea taarifa nane  za utafiti uliofanywa na Tume hiyo,katika mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Wizara hiyo.
Profesa Kabudi ametoa agizo hilo kutokana na ombi la Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Winifrada Korosso kueleza kuwa moja ya changamoto inayoikumba Tume hiyo ni baadhi ya Taasisi na Wizara kupeleka mapendekezo ya Sheria pasipo kupitishia kwenye Tume hiyo na kufanyiwa utafiti wa kina.
Akizungumzia hilo, Kabudi ameeleza hasara inayoweza  kuikumba serikali kwa  kupokea mapendekezo yasiyopitia kwenye Tume ya Kurekebisha Sheria kuwa yanasababisha Sheria hizo kutodumu kwa muda mrefu.
” Kwa bahati nzuri Mwanasheria Mkuu wa serikali upo hapa napenda ifahamike kwamba wizara  au Taasisi yeyote inayotaka kufanya maboresho au kutungwa kwa Sheria mpya ni lazima maboresho hayo yafanywe na Tume ya Kurekebisha Sheria kwa kuwa huko ndiko kwenye wabobevu,” amesema.
Amesema sio sawa kwa serikali kushughulikia msaada wa Sheria ambao utadumu kwa muda mfupi na  kuhitaji maboresho,, changamoto hiyo itaondoka endapo kila mmoja atafanya kazi yake.
Kwa upande mwingine ameipongeza tume hiyo  kwa kazi nzuri inayoifanya ikiwa ni pamoja na kushirikiana na wizara yake
kutekeleza falsafa ya serikali.
Tume ya Kurekebisha Sheria ndio chombo chenye jukumu la kufanya mapitio na utafiti wa Sheria zote hapa nchini  ili kuzifanya ziishi kwa  muda mrefu.
.

You Might Also Like

Wadau wa Kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua msimu 2024/25

Utafiti UDOM Wawezesha Plastiki Kutengeneza Mafuta Mazito Ya Viwanda, Mkaa Na Tiles

Naibu Waziri Katambi Asisitiza Ufanisi na Ubunifu Kwenye SIDO

Mbunge wa Monduli Aahidi Kusimamia Changamoto za Jimbo Lake

Serikali yazindua Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii na ‘Hifadhi Scheme’ kwa Waliojiajiri

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mashimba: Tumieni Siku Zilizobaki Kujiandikisha
Next Article Ridhiwani Kikwete Ajiandikisha Kupiga Kura Kijijini Msoga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?