MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mashimba: Tumieni Siku Zilizobaki Kujiandikisha
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mashimba: Tumieni Siku Zilizobaki Kujiandikisha
Habari

Mashimba: Tumieni Siku Zilizobaki Kujiandikisha

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KIGOMA: IKIWA zimebakia siku mbili kabla ya kufungwa kwa uandikishwaji katika Daftari la Mkazi Oktoba 20, 2024 wananchi wametakiwa kutumia muda ulobaki kujiandikisha.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Dkt. Semistatus Mashimba  amewataka wananchi hao kujiandikisha ili waweze kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024.
Amesema hayo alipokuwa akizungumza katika Kituo Kimoja cha Radio, mkoani Kigoma.
Amesema licha ya msimu huu kuwa wa kilimo mkoani hapo,mchakato wa uandikishaji unaendelea vizuri.
“Mwanzoni uandikishwaji ulikuwa  na changamoto kwa sababu baadhi ya wananchi walijikita kwenye maandaizi ya kilimo  ili kuandaa mashamba yao,
Lakini hivi sasa uandikishwaji unaaendelea vizuri kwa wananchi kwenda kujiandikisha katika vituo mbalimbali tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzoni.
Pia amesema idadi ya kujiandikisha kwa vijana ilikuwa si ya kuridhisha lakini kupitia hamasa mbalimbali zilizofanywa kwa sasa idadi yao inaridhisha tofauti na  awali.

You Might Also Like

NFRA Yawaalika Wadau Kununua Nafaka kwa Masoko ya Ndani na Nje

PURA Yajivunia Agenda Ya Matumizi Ya Nishati Safi

Kadi za mpiga kura zenye jina la zamani la Tume ni halali

UTT AMIS Yazindua kampeni ya ‘Kijiwe Mchongo

JAB Yasisitiza Ithibati Kama Njia ya Kuimarisha Ubora na Uaminifu wa Habari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mume na Mke Wafariki Kwa Wivu Wa Kimapenzi
Next Article Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Habari April 27, 2026
TUCTA: Waajiri Watekeeze Nyongeza Ya Kima cha Mishahara Sekta Binafsi
Habari April 27, 2026
Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?