MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti
Habari

Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu, Lahti, Finland
WIZARA Ya Maliasili na Utalii imeahidi kushirikiana na Kituo kikubwa cha kuzalisha mbegu za miti katika mji wa Oitti, Lahti, Finland.
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt.Hassan Abbas amesema hayo nchini Finland alipoongozana na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Misitu Tanzania ( TFS), Profesa Dos Santos Silayo akiwa katika kituo hicho.
“Tanzania tuna vituo vyetu vya mbegu za miti lakini hapa tumejionea teknolojia za kiwango cha juu na kwa kuwa hapa nipo na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wetu wa Misitu (TFS), Prof. Dos Santos Silayo, tumekubaliana tutashirikiana na kituo hiki kuboresha utafiti wetu na uzalishaji wa mbegu na miche ya miti nchini,,” amesema.
Kituo hicho ni miongoni mwa vituo vya mbegu vinavyoongoza Ufini na duniani kuzalisha mbegu bora za miti ya mbao na kufanya pia tafiti za mbegu za aina mbalimbali ya miti.
Pia Dkt. Abbasi na ujumbe wake walitembelea moja ya kampuni kubwa ya kutengeneza vifaa vya viwanda vya mbao cha Raute, Lahti, kinachouza vifaa vyake nchi mbalimbali duniani na kujionea teknolojia za kisasa katika sekta ya misitu.

You Might Also Like

Katambi Awataka CBE Kutoa Elimu Yenye Ushindani Kimataifa

Awamu Ya Pili Uboreshaji, Uwekaji Wazi Wa Dafatri La Wapiga Kura Kuanza Mei

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira

Tunapokea Malalamiko Ya Wananchi, Tunayafanyia Kazi – Dario

Rais Samia Aongoza Waombolezaji Kutoa Heshima Za Mwisho Kwa Mbunge Ndungulile

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama
Next Article Sierra Leone Yaipongeza TARURAUjenzi Wa Madaraja, Barabara Za Mawe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaingia Makubaliano Ya Ushirikiano Na DIT Kuimarisha Usimamizi Wa Mataifa
Habari June 8, 2026
Wananchi Waelimishwa Masharti ya Kubadilisha Noti Zilizochakaa, Kuungua na Kuchanika
Habari June 7, 2026
DMI Yawaalika Vijana Kujiunga Na Masomo Ya Ubaharia
Habari June 6, 2026
Taifa Gas Yaendelea Kuongoza Kampeni ya Nishati Safi kwa Taasisi na Sekta ya Utalii Tanzania
Habari June 6, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?