MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ubunifu Wa Mavazi Kutoka  VETA Umekuwa na Mafanikio Kwenye Tamasha La Utamaduni 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ubunifu Wa Mavazi Kutoka  VETA Umekuwa na Mafanikio Kwenye Tamasha La Utamaduni 
Habari

Ubunifu Wa Mavazi Kutoka  VETA Umekuwa na Mafanikio Kwenye Tamasha La Utamaduni

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu, Morogoro

USHIRIKI wa Mamlaka Ya Elimu Na Mafunzo Ya Ufundi Stad (VETA) katika tamasha la nne la Utamaduni umekuwa na mafanikio makubwa hususani kwenye eneo la mavazi ambayo yamebuniwa kwa mitindo mbalimbali yenye kuimarisha utamaduni.
Meneja wa VETA Kanda ya Mashariki, John Mwanja amesema hayo katika kilele cha  tamasha  la nne la kitaifa la  utamaduni lililofanyika mkoanj Morogoro kwenye uwanja wa Jamhuri.
Amesema mafanikio hayo yamefikiwa haswa baada ya uwekezaji wa vifaa vya kisasa vya ushonaji uliofanywa katika vyuo vya VETA Kanda ya Mashariki na kurahisisha maandalizi mazuri na mitindo mbalimbalu yenye ubunifu ambao umetumika katika tamasha hilo la utamaduni.
Habari Picha 13526
Habari Picha 13527
Ameongeza kuwa katika vyuo vilivyopo kwenye Kanda hiyo ambavyo ni vya Dakawa,Mikumi,Pwani na Kihonda wamenufaika na sh milioni 89.1 kwa ajili ya  uwekezaji mkubwa ambao uliwezesha kununua vifaa vya kisasa vya fani ya ushonaji  na kurahisisha ushonaji wa  mavazi ambayo pia yalihumika kahika maonesho kwenye tamasha hilo.
“Tumeshiriki katika tamasha hili  tukijikita  zaidi katika maeneo mawili ya nguo za utamaduni ambazo zilishonwa katika vyuo vyetu lakininpia tumeonesha utalii wa kiutamaduni ambao ulihusisha ngoma,vyakula vya asili,nguo za asili ambazo zinaonesha asilinya Mtanzania,”amesema.
Aidha Mwanja amesema VETA katika ukanda huo kuna vyuo saba na kwamba vingine saba viko kwenye hatua ya kukamilishwa na kufikia mwakani inatarajiwa kuwa na vyuo 14 .
Habari Picha 13528
Amesema VETA inajivunia kushiriki kwa mara ya kwanza kwenye tamasha hususani katika eneo la utamaduni na kwamba wameona ni namna gani mafunzo watoayo yanavyoweza kuimarishwa ili kujibu eneo la utamaduni.
“Mara nyingi tulijielekeza kwenye ujuzi na ufundi lakini utamaduni na sanaa ilikuwa bado lakini baada ya Mamlaka kuanzisha mitaala.mbalimbali inazungumzia utamaduni na sanaa na michezo ,” amesema na kuwashauri vijana kujinga na VETA ili kujifunza eneo la utamaduni.

You Might Also Like

Nyamhokya Atoa Wito kwa Wanawake Kusimama Imara Kiuchumi

Magonjwa ya misuli yaongezeka mahala pa kazi-OSHA

BRELA Kuleta Mradi Wenye Suluhu Kwa Wakulima Na Wafugaji

SGR Kipande Cha Saba Na Nane kuanza kujengwa

Watumishi Wanawake Wa TEA wajitoa Kwa Jamii

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TRAB Yaelimisha  Wananchi Hatua Wanazoweza Kuchukua Wasiporidhishwa Na Masuala Ya Kodi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TRAB Yaelimisha  Wananchi Hatua Wanazoweza Kuchukua Wasiporidhishwa Na Masuala Ya Kodi
Uncategorized August 29, 2026
VETA -Dakawa Kufundisha Namna Ya Kutunza  Mifugo Kupandisha Thamani Ya Ngozi
Habari August 28, 2026
“Tumejiandaa Vyema Kuzifikia Fursa Za Afcon Kupitia Utalii”-VETA
Habari August 28, 2026
VETA Yaonesha  Mavazi, Bidhaa Za  Utamaduni Kwa Umahiri Katika Tamasha La Utamaduni
Habari August 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?