MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Yajikita Katika Ushirikiano wa Kikanda Kuhusu Maji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Yajikita Katika Ushirikiano wa Kikanda Kuhusu Maji
Habari

Tanzania Yajikita Katika Ushirikiano wa Kikanda Kuhusu Maji

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
TANZANIA imesisitiza dhamira yake ya kuendeleza ushirikiano wa kikanda katika usimamizi wa rasilimali za maji wakati wa Mkutano wa Maji na Diplomasia ya Maji uliofanyika Bishoftu, Ethiopia.
Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Maji Juma Aweso, Mkurugenzi wa Ubora wa Maji, Heri Chisute, amesema mkutano huo wenye kaulimbiu ya diplomasia ya maji na ushirikiano wa kikanda kwa maendeleo endelevu unasisitiza kuwa maji si rasilimali tu bali ni uhai, daraja la kuunganisha mataifa na msingi wa amani na ustawi.
Ameeleza kuwa Tanzania imejifunza kupitia mifumo ya majishirikishi kama Bonde la Mto Nile, Zambezi, Songwe na Ziwa Victoria kuwa ushirikiano hubadili maji kuwa chanzo cha umoja badala ya migogoro.
Habari Picha 11573
Chisute amesema Tanzania inaongozwa na misingi mitatu, usawa na ujumuishi ili kila jamii ishiriki katika uamuzi, uendelevu na uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali zisizo toshelevu, na diplomasia pamoja na ushirikiano unaojenga uaminifu na kupanua mazungumzo.
Ameongeza kuwa Tanzania na Ethiopia zina historia ya uhusiano mzuri, na mkutano huo unatarajiwa kuimarisha zaidi ushirikiano huo na kuchochea utawala endelevu wa maji.
Aidha, ametoa wito kwa nchi za Afrika kuunda mifumo wazi, jumuishi na inayotekelezeka ili rasilimali za maji ziwe chachu ya maendeleo na mshikamano wa kikanda.
Habari Picha 11574
Mkutano huo uliwakutanisha mawaziri, watunga sera na wataalamu kutoka nchi za Bonde la Mto Nile kujadili mbinu shirikishi za usimamizi wa maji, kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi za utafiti na kuongeza ushiriki wa vyombo vya habari katika uelimishaji wa umma.
Diplomasia ya maji inahusisha matumizi ya mazungumzo na ushirikiano wa kisiasa kusimamia rasilimali za maji zinazovuka mipaka, kwa lengo la kuzuia migogoro, kukuza amani na kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji.

You Might Also Like

Rais Samia na maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ

Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki

CCCC Yaandaa Tamasha La Dragon Boat

Ajali Yakatisha Maisha Ya Mkurugenzi  Mkuu Mtendaji TANESCO, Dereva Wake 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TPHPA Yazidisha Ulinzi wa Mazao, Kudhibiti Magonjwa ya Viazi, Funza Weupe
Next Article Wizara ya Maji Yasisitiza Ushirikiano Na Sekta Binafsi Kuhifadhi Rasilimali za Maji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

IITA Yawekeza Bilioni 410 Tanzania Kuimarisha Kilimo, Utafiti
Habari May 9, 2026
Vyuo Vikuu Vyahitaji Mkakati Madhubuti wa Tafiti — Yanda
Habari May 8, 2026
Asilimia 26 Ya Wanawake Ndio Wanaoamini Kuwa Na Uhuru Wa Kufanya Maamuzi Ya Kufanya Shughuli Za Uchumi
Habari May 8, 2026
Kesi 100 Za Wananchi Zasikilizwa Na Kupatiwa Suluhu Katiba Na Sheria
Habari May 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?