MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Takukuru Kinondoni Yapokea Malalamiko 46 Kuhusu Rushwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Takukuru Kinondoni Yapokea Malalamiko 46 Kuhusu Rushwa
Habari

Takukuru Kinondoni Yapokea Malalamiko 46 Kuhusu Rushwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kinondoni, Dar es Salaam imepokea malalamiko 85 ambapo malalamiko 46 yalihusu rushwa an 35 hayakuhusu rushwa.

Mkuu wa TAKUKURU, Kinondoni, Christian Nyakizee amesema hayo jana Dar es salaam  wakati akitoa taarifa kuhusu utendaji wa taasisi hiyo kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2024.

Amesem kwa malalamiko ambayo hayakuhusu rushwa, walalamikaji wameshauriwa na majalada kufungwa na wengine wameelekezwa sehemu sahihi ya kupeleka malalamiko yao.

Amesema kwa malalamiko yanayohusu rushwa majalada yanaendelea kushughulikiwa  nay apo katika hatua mbalimbali.

Aidha Nyakizee amesema taasisi hiyo hufanya mifumo mbalimbali ili kubaini mianya ya rushwa katika maeneo ya kiutendaji ya ofisi,taasisi au idara na kudhibiti.

Amesema katika kipindi hicho wamefanya uchambuzi wa mifumo ya uondoshaji taka ngumu ngazi ya kaya na maeneo ya biashara katika Manispaa ya Kinondoni.

Ameitaja mifumo iliyofanyiwa uchambuzi kuwa ni usimamizi na ukusanyaji  mapato kwa njia ya kielektroniki (POS)  katika manispaa ya Ubungo.

Amesema eneo lingine ni uwasilishaji wa michango mifuko ya hifadhi ya jamii katika Manispaa ya Ubungo na usomaji mita na Ankara za  maji kutoka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA)  kwa wilaya ya Ubungo.

 

 

You Might Also Like

Katambi Aagiza Ushindani Wa Haki Ili Kulinda Bei, Walaji

Serikali Yazindua Mafunzo Ya Mtandao Ya Afya Moja

Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga

Rais Samia atoa zaidi ya bil. 2.1 usimikaji wa mifumo, uendeshaji mashauri ya wafanyakazi

Silaa Atembelea Banda La NEMC, Wiki Ya Anwani Za Makazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Polisi Kufuatilia Wanaochuja Mafuta Na Mifuko Kwenye Malori
Next Article Silaa Atembelea Banda La NEMC, Wiki Ya Anwani Za Makazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Diwani Kata Ya Majengo Awasihi Wananchi Kufanya Kazi Kwa Bidii
Habari February 16, 2026
Tanzania Yalenga Kufikia Asilimia 51 Ya Ushiriki Wa Wanawake Katika Sayansi
Habari February 14, 2026
Makamu wa Rais Asisitiza Ubunifu, Uwekezaji Soko La Hisa La Dar es Salaam
Habari February 13, 2026
JAB Yasisitiza Ithibati Kama Njia ya Kuimarisha Ubora na Uaminifu wa Habari
Habari February 13, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?