MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: SUA Chatumia Ngamia Mafunzo Ya Vitendo Kwa Wanafunzi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > SUA Chatumia Ngamia Mafunzo Ya Vitendo Kwa Wanafunzi
Habari

SUA Chatumia Ngamia Mafunzo Ya Vitendo Kwa Wanafunzi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kimeendelea kukuza uelewa na umahiri wa vitendo kwa wanafunzi kwa kutumia ngamia katika mafunzo yanayowasaodia kuwa madaktari wenye weledi.

Wanafunzi wanaotumia ngamia katika mafunzo yao ni kutoka Ndaki ya Tiba ya Wanyama na Sayansi za Afya.

Msimamizi wa Shamba la Utafiti katika ndaki hiyo, Enesa Mlay amesema hayo alipokuwa akitoa mafunzo ya namna ya kuwapa ngamia dawa za minyoo kwa njia ya sindano kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Stashahada ya Afya ya Wanyama na Uzalishaji wanaosoma chuoni hapo.

 

Amesema SUA inaendelea kuboresha ufugaji wa ngamia kwa ajili ya tafiti, elimu na mafunzo kwa wanafunzi wa taaluma mbalimbali lengo kubwa likiwa ni kuwawezesha wahitimu wa chuo hicho kufanya kazi zao kwa ufanisi na umahiri mkubwa.

“Ngamia wamekuwa msaada mkubwa kwa wanafunzi wetu wanaosomea Tiba ya Mifugo, Sayansi ya Wanyama, Kozi za Ualimu na hata wale wanaosomea Misitu, ambapo hujifunza namna ya kuwatambua, kuwahudumia na kutambua tabia zao,” amesema.

Amesema mafunzo hayo huwasaidia wanafunzi hao kujiandaa kikamilifu kwa maisha ya kitaaluma pindi wanapomaliza masomo yao kwa kuwa katika shamba hilo la utafiti, wanafunzi hujifunza pia namna ya kushughulika na magonjwa ya ngamia ukiwemo ugonjwa wa kuharisha ambao ni hatari kwa mnyama huyo.

Akimwelezea mnyama huyo amesema, ngamia ni mnyama wa kipekee mwenye faida nyingi na anayeweza kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa, hivyo kuwataka wafugaji kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotokana na ufugaji wa ngamia.

Baadhi ya wanafunzi wanaosoma Shahada ya Afya ya Wanyama na Uzalishaji wamefurahishwa na mafunzo hayo kwa vitendo na kusema yanawajengea hali ya kujiamini kiasi kwamba watakapohitimu watakuwa madaktari wazoefu, hivyo kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

You Might Also Like

Katibu Mkuu CCM Dkt. Nchimbi Akutana na Katibu Mkuu CRC

Serikali Kukarabati Vituo Vyote Vya Kutolea Huduma Za Afya Kongwe

VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa

Kongamano la Kahawa Bora Afrika kufanyika Tanzania Februari mwakani

SUA Yawafikia Wafugaji Wa Ng’ombe Wa Maziwa Kwa Tiba Mbadala Ya Homa Ya Kiwele

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mama Mchumgaji TAG Zinga, Asheherekea Siku Ya Kuzaliwa Na Watoto Yatima, Mazingira Magumu
Next Article Shinyanga Kunufaika Na Miradi Ya REA,Wauziwa Mitungi 13,000 Kwa Ruzuku
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
PURA Yajipanga Gesi Asilia Itumike Kwenye Magari
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?