MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ndoinyo Aishauri Serikali Kurejesha Utalii Vijijini
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ndoinyo Aishauri Serikali Kurejesha Utalii Vijijini
Habari

Ndoinyo Aishauri Serikali Kurejesha Utalii Vijijini

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MBUNGE wa Jimbo la Ngorongoro, Yanick Ndoinyo, amesema ipo haja kwa Serikali kuweka mikakati ya kuhakikisha wananchi wa kawaida wananufaika moja kwa moja na shughuli za utalii kupitia huduma zinazotolewa vijijini.
Ndoinyo amesema kwa sasa sekta ya utalii imeendelea kuwa na manufaa makubwa ndani ya maeneo yaliyohifadhiwa, huku hoteli nyingi za kitalii zenye hadhi ya nyota tatu hadi tano zikijengwa ndani ya maeneo hayo, jambo linalowafanya wananchi wengi kushindwa kupata faida ya moja kwa moja kutokana na uwepo wa watalii.
Ametoa kauli hiyo alipokuwa akichangia hotuba ya Wizara ya Maliasili na Utalii kuhusu sekta ya uhifadhi, utalii na ufugaji bungeni.
Amesema ni muhimu kwa wizara hiyo kuanza kuandaa sera na mikakati itakayosaidia kurudisha miundombinu ya utalii katika maeneo ya wananchi ili kuongeza ushiriki wao katika shughuli za kiuchumi zinazotokana na utalii.
“Watalii walale katika gesti zetu, wanywe chai zetu na wale maandazi yetu. Hapo ndipo mwananchi wa kawaida ataona manufaa ya moja kwa moja ya utalii na fedha zitaingia katika uchumi wa wananchi,” amesema.
Aidha, Ndoinyo amesema Tanzania ina uwezo mkubwa wa kuongeza idadi ya watalii kuliko ilivyo sasa kutokana na rasilimali zilizopo pamoja na dhamira ya Serikali kuimarisha sekta hiyo.
Amesema lengo la kufikia watalii milioni nane si kubwa kwa Tanzania na linaweza kufikiwa kwa haraka ikiwa juhudi za pamoja zitaendelea kuimarishwa.

You Might Also Like

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

Majaliwa Afanya Harambee Ya Mei Mosi 2025

Sababu Nne Zilizofanikisha Mafanikio Katika Uandikishaji

TPHPA Tumejiimarisha Kudhibiti Visumbufu Vya Mazao – Ndunguru

TIC Yapaa Kiuchumi Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Nyavu za Plastiki Zatishia Afya za Watumiaji wa Samaki Ziwa Victoria
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nyavu za Plastiki Zatishia Afya za Watumiaji wa Samaki Ziwa Victoria
Habari May 19, 2026
Utunzaji Ziwa Victoria Wasisitizwa kwa Mustakabali wa Uchumi, Mazingira
Habari May 19, 2026
Inzi Chuma: Suluhisho la Chakula cha Mifugo, Uhifadhi wa Mazingira
Makala May 18, 2026
Ziwa Victoria Lanufaisha Watu Milioni 45 Afrika Mashariki – Mtanda
Habari May 18, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?