MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wiki Ya Elimu, Ujuzi Na Ubunifu,UDSM Yabuni Dema La Kidigitali La Milango Sita Kusaidia Wavuvi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wiki Ya Elimu, Ujuzi Na Ubunifu,UDSM Yabuni Dema La Kidigitali La Milango Sita Kusaidia Wavuvi
Habari

Wiki Ya Elimu, Ujuzi Na Ubunifu,UDSM Yabuni Dema La Kidigitali La Milango Sita Kusaidia Wavuvi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu, Tanga

CHUO Kikuu cha Dar es Salaam( UDSM),Shule Kuu Ya Sayansi Akua Na Teknolojia Za Uvuvi (SOAF) kimekuja na ubunifu wa dema  la kidigitali lenye milango sita katika wiki ya elimu,ubunifu na ujuzi 2026 lenye kumpa nafasi mvuvi kujua idadi ya samaki walioingia.
Mhadhiri Msaidizi wa SOAF,UDSM, Ndalla Missana amesema hayo katika banda la UDSM lililoko katika  wiki ya elimu,ujuzi na ubunifu inayoendelea mkoani Tanga katika viwanja vya  Usagara.
Amesema kupitia dema hilo mvuvi ataweza kujua kiwango cha samaki walioingia kwa kuwa litakuwa limefungwa kifaa maalum cha kutoa taarifa kwa mvuvi  (sensor)  kwenye simu yake ya mkononi mara tuu samaki watakapokuwa wameingia.
Habari Picha 13269
Amesema hatua hiyo itamrahisishia mvuvi kupungiza muda wa kwenda na kurudi kuangalia dema na atakuwa amekaa sehemu moja huku akipata taarifa kwenye simu kwamba samaki wangapi wameingia kwenye dema lake kwa wakati huo.
“Hivi manake inampa ahueni mvuvi badala ya kwenda na kurudi atakuwa anakwenda mara moja kulitega na atarudi akifuatilia na baaae ataenda kulitoa akiwa na uhakika kama samaki wameingia kwenye mtego” amesema .
Amesema UDSM imefanya utafiti huo kwa muda usiopungua miaka mitatu kuangalia dema hilo,mwanzo walianza kubuni likiwa na aina mojanya umbonla duara na matokeo yakawa sawa na  anayopata mvuvi siku zote ndipo walipojaribu ainannhinginenya umbo la nyota lenye milango sita.
Amesema aina hiyo inampa wigo samaki kuingia sehemu yoyote ilimradi aone chakula na kwenhe dema wataweka chakula ambacho sio halisi (artificial) chenye kumvutia samaki akijua ni chakula anachokula na ataingia kupitia mlango wowote kupitia milango hiyo sita.
Habari Picha 13270
Ndalla amesema huo mi ubunifu kwa ajilibya kusaidia wavuvi na kwamba UDSM haitoishia hapo bali wanatamani kifaa cha kutoa taarifa kiwe na uwezo wa kupiga picja na kumpa taarifa mvuvi kujua aina ya samaki walioingia.
Amewataka wavuvinkutumia fursa ya wiki hiyo kufika katika banda la UDSM kujifunza nankuhakikisha wanafkkia malengonya Dira ya Taifa Ya Maendeleo 2050.

You Might Also Like

Dirisha  La Udahili Awamu Ya Pili Lafunguliwa-TCU

Tanzania Kuweka Muongozo wa Kitaifa wa Usimamizi wa Takwimu Kidijitali

Washauri Serikali Kutumia Fedha Za Miradi

Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini

Elimu Ya Afya, Takwimu sahihi Na Ufuatiliaji Ni Muhimu Kuimarisha Huduma Za Chanjo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TTCL  Yatumia Tamasha La Kizimkazi Kueleza  Wananchi Fursa Wanazotoa
Next Article VETA Kibaha Yatengeneza Simu Ya Mkononi Yenye Uwezo Wa Kupiga Na Kutuma Sms
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

VETA Kibaha Yatengeneza Simu Ya Mkononi Yenye Uwezo Wa Kupiga Na Kutuma Sms
Habari August 17, 2026
TTCL  Yatumia Tamasha La Kizimkazi Kueleza  Wananchi Fursa Wanazotoa
Makala August 15, 2026
Rais Samia Afurahishwa Na Huduma za NSSF
Habari August 13, 2026
  VETA Yashiriki Tamasha La Kizimkazi
Habari August 13, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?