MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Kibaha Yatengeneza Simu Ya Mkononi Yenye Uwezo Wa Kupiga Na Kutuma Sms
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Kibaha Yatengeneza Simu Ya Mkononi Yenye Uwezo Wa Kupiga Na Kutuma Sms
Habari

VETA Kibaha Yatengeneza Simu Ya Mkononi Yenye Uwezo Wa Kupiga Na Kutuma Sms

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu,Tanga

MAMLAKA Ya Elimu Na Mafunzo Ya Ufundi Stad (VETA) Pwani  imetengeneza simu ya mkononi ambayo kwa sasa ina uwezo wa  awali wa  kupiga simu na kutuma ujumbe mfupi wa maandishi.
Mkufunzi wa VETA Kibaha Pwani Hamis Salum amesema hayo katika banda la VETA lililoko katika wiki ya elimu ,ujuzi na ubunifu inayofanyika Tanga katika viwanja vya Usagara.
Amesema simu hiyo imetengenezwa kwa kuanzia kwenye hatua ya  moduli kama simu zinavyoundwa na wao wameunda kwa kuunganisha simu mbalimbali.
“Utafiti unatarajia huko mbeleni kutengeneza simu ambayo kama kampuni kubwa za nje zinavyofanya,utafiti huu ulianza mwaka jana”,amesema na kuongeza kuwa kilichomsukuma ni kuona watanzania wanaagiza vitu kutoka nje kukiwa hakuna teknolojia zao wenyewe.
Habari Picha 13278
Amesema utengenezaji huo wa simu umeanzia ngazi ya chini ambapo mfumo wa uendeshaji uliopo ndani wametengeneza wenyewe licha ya kwamba wanaingiza  baadhi ya vifaa  lakini teknolojia nzima  inamilikiwa na VETA sio ya nje.
Amesema malenho ni kutengeneza simu kama za kampuni nhingine lakini zimilikiwr na watanzania na kushauri serikali kuendelea kuwekeza kwao na watanzania kwa ujumla walio na bunifu mbalimbali ili kuwe na teknolojia nyingi  na kubwa.

You Might Also Like

Mashine Kusaidia Uuzaji Vinywaji Bila Muuzaji

Yonaz akabidhi boti ya doria kukabili vitendo vya kiuhalifu

Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kilele Kongamano la TEHAMA

Programu Ya Mazoezi Kwa Watumishi Wizara YA Mambo Ya Ndani Yazinduliwa

Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wiki Ya Elimu, Ujuzi Na Ubunifu,UDSM Yabuni Dema La Kidigitali La Milango Sita Kusaidia Wavuvi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wiki Ya Elimu, Ujuzi Na Ubunifu,UDSM Yabuni Dema La Kidigitali La Milango Sita Kusaidia Wavuvi
Habari August 17, 2026
TTCL  Yatumia Tamasha La Kizimkazi Kueleza  Wananchi Fursa Wanazotoa
Makala August 15, 2026
Rais Samia Afurahishwa Na Huduma za NSSF
Habari August 13, 2026
  VETA Yashiriki Tamasha La Kizimkazi
Habari August 13, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?