MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA Yapata Dawa Ya Visumbufu Vya Mazao
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA Yapata Dawa Ya Visumbufu Vya Mazao
Habari

TPHPA Yapata Dawa Ya Visumbufu Vya Mazao

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: KUONGEZEKA kwa shughuli za kilimo nchini,  kunasababisha uwepo wa visumbufu vya mazao wakiwemo kwelea kwelea kwa kuwa kunachangia kupungua au kutoweka kwa chakula halisi cha ndege hao.
Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania  (TPHPA), Kanda ya Kati Dkt. Secilia Mroso amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi TANZANIA kwenye banda la maonesho katika Wiki ya Utumisihi wa Umma, kwenye viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma.
Amesema kutokana na changamoto hiyo ya visumbufu vya mazao, mamlaka hiyo imenunua ndege mpya ya kisasa aina ya Thrush 510P2+ kwa ajili ya udhibiti wa viuatilifu hivyo.
Pia amesema mabadiliko ya tabia nchi yamechochea kuwepo kwa visumbufu vya mimea, na kutokea kwa makundi makubwa ya visumbufu vya mimea ambavyo kwa sasa vinadhibitiwa kwa urahisi zaidi kutokana na uwepo wa ndege hiyo.
Amesema TPHPA inaendelea kutoa elimu kwa wakulima namna ya kulima mazao yanayoendana na hali ya hewa pamoja na utumiaji mbegu bora na za kisasa zinazoendana na hali halisi ya eneo.
Amesema kwa sasa mamlaka hiyo itatekeleza shughuli zake za udhibiti wa visumbufu vya mazao kwa urahisi baada ya kununua ndege hiyo.
Amesema kabla ya kununua ndege hiyo, Mamlaka hiyo ilikuwa ikitumia ndege kutoka nchini Kenya na wakati mwingine ilichelewa kutokana na kuhudumia maeneo mengine yaliyovamiwa na visumbufu vya mazao.

You Might Also Like

TEN/MET, LHRC Zataka Iwekwe Marufuku Matumizi Ya Viboko

JOWUTA Yataka Wanahabari Wasajiliwe WCF

TFS Yavunja Rekodi Utalii Wa Misitu,Mapato Yapaa Kwa Asilimia 43

Rais Mwinyi adhamiria kusimamia ubora wa bidhaa

Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kwenye Kilele Cha Siku Ya Utumishi Wa Umma
Next Article Lukuvi Asema 2024 Bangi Ilivunja Rekodi, Tani Zaidi Ya 2000 Zilikamatwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Ziwa Ngozi Lavuta Mamia Sabasaba, Wageni Washangazwa Na Ramani Ya Afrika Juu Ya Mlima
Habari July 9, 2026
Shirika La Uzalishaji Mali La Polisi Kujenga Vituo Vya Ukaguzi Wa Vyombo Vya Moto
Habari July 9, 2026
Watumishi 7881 Watakaostaafu 2026/27 Watambuliwa Kupitia Kampeni Ya Tunalipa Jana-PSSF
Uncategorized July 8, 2026
Katambi Apongeza Zimamoto Kwa Uwekezaji Wa Vifaa Vya Kisasa
Uncategorized July 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?