MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwenyekiti Wa Kijiji Aahidi Kufuatilia Mgogoro wa Shamba Bahi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwenyekiti Wa Kijiji Aahidi Kufuatilia Mgogoro wa Shamba Bahi
Habari

Mwenyekiti Wa Kijiji Aahidi Kufuatilia Mgogoro wa Shamba Bahi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: MWENYEKITI wa Kijiji cha Makanda-Mvumi, Msafiri Makacha, ameiahidi kuendelea kufuatilia mgogoro wa shamba la Sayu Seni, mkazi wa Wilaya ya Bahi, aliye nyang’anywa shamba na mali zake na Nzije Shanga.
Amesema hatua hizo zitahakikisha kila upande anapata haki, licha ya kutokuwa na ufahamu wa kutosha ikiwa mlalamikiwa na mlalamikaji walishalizana awali.
Makacha amesema mgogoro huo umetokana na udugu na sintofahamu kimaamuzi.
Kauli hiyo inajiri baada ya Seni kumwomba Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuingilia kati.
Seni ameeleza kuwa kitendo cha kumnyang’anya shamba na mali zake, pamoja na vitisho kwa familia yake, kimesababisha kukimbia na kubaki peke yake bila kujua atakayeishi.
Amesema vitendo hivyo vya uonevu vimemuathiri kiuchumi, kijamii na kisaikolojia, na kumfanya ashindwe kuhudumia familia yake.
Seni alisema, “Niliamia Bahi mwaka 2009 baada ya kununua shamba kutoka kwa Buda na Msalali.
“Mwaka 2017 nilipanua shamba hadi hekari 10 kwa kilimo. Nilipojaribu kufuata taratibu za kibali chenye Sh. 5,000, niliambiwa natozwa faini ya Sh. 300,000, ambayo sikukuwa nayo, hivyo kuanza matatizo.”
Kwa upande wake, Nzije Shanga amedai yeye ndiye mmiliki wa eneo hilo na alipewa na uongozi wa wilaya kwa kushirikiana na kijiji, lakini hakutaka kutoa maelezo zaidi akisema anashughulika na kilimo na ufugaji.

You Might Also Like

TANESCO Tunathamini Wadau Wa Maendeleo- Nyamo-Hanga

NSSF Kutekeleza Mradi Wa Uwekezaji Wa Jengo La Kitega Uchumi Dodoma

CCCC Yakutana na Wanahabari, Yapanga Mikakati Mipya 2025

Rais Samia Ameweka Alama Kwa Watumishi Wa Magereza Arusha,Awagawia Mitungi 528

Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TAREWU Wapata Uongozi Mpya
Next Article Wiki ya Huduma za Fedha: SELF Yafungua Fursa za Kiuchumi kwa Wananchi Tanga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mradi Wa Njia Ya Kusafirisha Umeme Wa Msongo Wa Kilovolti 400 Chalinze -Dodoma Mbioni Kukamilika
Habari July 29, 2026
Kutoka Wazo Rahisi Hadi Mapinduzi ya Kilimo: Safari ya Rafiki Planter Inayosimulia Miaka 40 ya COSTECH
Makala July 28, 2026
Ndejembi Ashuhudia Utiaji Saini Wa Mkataba Wa Sh Bilioni 204.7 Wa Mradi Wa Umeme Wa Jua Wa Megawati 100 Kishapu
Habari July 27, 2026
Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?