MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki
Habari

CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DODOMA: CHUO cha Usafiri wa Anga (CATC), kimeanzisha kozi inayohusisha wakulima ya urushaji wa ndege nyuki ambao kwa sasa ndio teknolojia inayotumika katika unyunyizaji wa dawa mashambani.
Ofisa Habari na Masoko Mkuu wa Chuo hicho, Ally Changwila amesema hayo wakati wa maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yajulikanayo kama nane nane, yanayofanyika Kitaifa jijini Dodoma.
‘Katika maonesho haya, Chuo cha Usafiri wa anga CATC, kimeamua kuleta kozi ambayo inahusika moja kwa moja na wakulima.
” Ni moja kati ya kozi nyingi zinazotolewa, ni lozi ya urubani wa ndege nyuki, ” amesema.
Maelezo yake ni kwamba, kozi hiyo inatolewa kwa wiki nne, wiki mbili darasani na wiki mbili kwa vitendo.
Amesema kozi hiyo inawapika watu namna ya kutumia ndege nyuki ambayo hutumika kumwagilia dawa kwenye mazao na kufanya ukaguzi ili kujua maeneo ambayo mazao yanavamiwa na wadudu ili baadaye kuyakinga.
Amesema kwa sasa mtu akirusha ndege nyuki bila kuwa na leseni inayotolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga ataingia katika matatizo.

You Might Also Like

Kingalame Aitaka Sekta Binafsi Kushirikiana na TBA Kukamilisha Mradi wa Makazi Geita

Kifo cha Ndugai Kisigeuzwe Siasa – Familia

Tanzania Yaongeza Kasi ya Utafutaji Masoko ya Parachichi Ulaya

VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa

Bunge Bonanza 2026 Kuikutanisha Simba Na Yanga Dodoma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Next Article TMA yawafikia taasisi za utafiti wa kilimo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mandingo: Jiungeni Mkunga Marathon Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto
Habari April 21, 2026
‘Upungufu wa Wakunga Afrika Watishia Maisha ya Mama na Mtoto ‘TAMA
Habari April 21, 2026
Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?