MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki
Habari

CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DODOMA: CHUO cha Usafiri wa Anga (CATC), kimeanzisha kozi inayohusisha wakulima ya urushaji wa ndege nyuki ambao kwa sasa ndio teknolojia inayotumika katika unyunyizaji wa dawa mashambani.
Ofisa Habari na Masoko Mkuu wa Chuo hicho, Ally Changwila amesema hayo wakati wa maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yajulikanayo kama nane nane, yanayofanyika Kitaifa jijini Dodoma.
‘Katika maonesho haya, Chuo cha Usafiri wa anga CATC, kimeamua kuleta kozi ambayo inahusika moja kwa moja na wakulima.
” Ni moja kati ya kozi nyingi zinazotolewa, ni lozi ya urubani wa ndege nyuki, ” amesema.
Maelezo yake ni kwamba, kozi hiyo inatolewa kwa wiki nne, wiki mbili darasani na wiki mbili kwa vitendo.
Amesema kozi hiyo inawapika watu namna ya kutumia ndege nyuki ambayo hutumika kumwagilia dawa kwenye mazao na kufanya ukaguzi ili kujua maeneo ambayo mazao yanavamiwa na wadudu ili baadaye kuyakinga.
Amesema kwa sasa mtu akirusha ndege nyuki bila kuwa na leseni inayotolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga ataingia katika matatizo.

You Might Also Like

Mwalim Ahaidi Kubadilisha Dodoma Kuwa Jiji Kamili La Makao Makuu

Wananchi Kunufaika Na Huduma Za Kijamii Mradi Wa LNG Mkoani Lindi

Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa

Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa

Hotuba ya Rais Samia Yachochea Miradi Mikubwa ya Viwanda na Bandari Bagamoyo – Mgalu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Next Article TMA yawafikia taasisi za utafiti wa kilimo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kisasa Design: Kampuni ya Kitanzania Inayobadilisha Sekta ya Interior Design na Utengenezaji wa Samani
Habari June 6, 2026
Vidukari Hatari Vyafuatiliwa Mikoa 17 Kulinda Zao la Mpunga
Makala June 5, 2026
KARIBU ESCAPE LODGE SERENGETI – NYUMBA YAKO YA KIFAHARI KATIKATI YA UFALME WA WANYAMAPORI
Habari June 5, 2026
Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?