MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume
Habari

Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume

Author
By Author
Share
2 Min Read

NaMwandishi Wetu

TUME ya Kurekebisha Sheria Tanzania imekuwa ikipokea maoni kutoka kwa wananchi kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wake ama uboreshaji wa sheria.
Katibu Mtendaji wa Tume hiyo George Mandepo amesema hayo kwenye Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea jijini Dodoma.
Amesema, ” Kazi ya Tume ni kufanya mapitio ya sheria zote zilizopo Tanzania na kupendekeza marekebisho serikalini katika maeneo ambayo tunabaini kuna upungufu au kuna mgongano au ukizani wa sheria,”.
Amesema katika kufanya hivyo huhusisha wadau wa sekta husika na wengine wanaoathirika  na ile sheria ambayo inatungwq au kufanyiwa marekebisho.
” Katika kufanya kazi tume inaweza ikapendekeza marekebisho, ikapendekeza kufutwa kwa sheria lakini ikapendekeza labda kuboreshwa mifumo yetu  ya usimamizi wa sheria ambazo zipo ndani ya serikali yetu,” amesema.
Amesisitiza kuwa tume inapofanya mapitio au marekebisho ya sheria inafanya utafiti wa kupitia sheria zilizopo kwa kuangalia mazingira ya sasa, mazingira yaliyosababisha kutungwa kwa sheria  husika na mazingira yajayo.
“Kwa sababu sheria lazima iishi kama mwanadam inaongea, sheria ina matendo yote ambayo yanapeleka kuonekana  sheria inatumika.
“Kwa hiyo tunaangalia pia uzoefu wa ndani ya nchi na wa nchi nyingine , lakini pia tunaangalia athari ambayo sheria husika inaweza ikaleta kiuchumi, kijamii na pia kisiasa,” amesema.
Amesema kama tume wanayaangalia hayo  pamoja na kuwahususha wadau.

You Might Also Like

Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya

Ntonda Ameipongeza TEA Kwa Utekelezaji Bora Wa Miradi Ya Elimu

JMAT Yatoa Neno Yanayoendelea Kwa Vijana Wa Kenya

WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri

TARI Yakutanisha Wadau Kuwaeleza Matokeo Ya Tafiti Za Mbegu Wanazofanya

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kusiluka aitaka TVLA kuongeza tafiti za chanjo 
Next Article AU yataka vyombo vya habari Afrika, kulinda Uhuru wa vyombo vya habari 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?