MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Habari

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke iinatarajiwa kufanyiwa maboresho katika maeneo ya huduma Kwa wateja na kuondoka changamoto ya Mawasiliano kutola Kitengo li Moja kwenda kingine.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya John Jingu amesema hayo leo alipotembelea Hospitalini hapo kuangalia u ora wa utoaji huduma na kuongeza kuwa maboresho hayo yatasaidia huduma iwe rahisi na yenye tija.

Amesema wamekutana na wagonjwa kuona ni namna gani wanapokea huduma ambapo kiwango kikubwa wagonjwa wanasema wanaridhika na huduma zinazotolewa .

” Katika uboreshaji huo kuna maeneo ambayo tunahitaji kuyafanyia kazi ili kuimarisha utoaji wa huduma kwa ufanisi lakini kwa tija zaidi eneo la huduma kwa wateja inanatakiwa mtu akifika Hospitalini hapa aweze kupata huduma mara moja na asikae zaidi ya muda unaohitajika kukaa,” amesema.

Amesema kuna changamoto zingine za mawasiliano kutoka kitengo kimoja kwenda kingine na yenyewe inaweza kuleta ucheleweshaji wa hapa na pale lakini Serikali inawekeza kwa kiwango kikubwa kwenye tehama Ili kusaidia kwa kiasi kikubwa ucheleweshaji .

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Joseph Kimaro amesema ziara hiyo inawapa motisha wao watumishi walio chini ya Wizara ya Afya ili waweze kuendelea kuboresha huduma za Afya kwa wananchi wanaozitegemea.

You Might Also Like

Katambi aitaka BRELA kuharakisha urasimishaji wa biashara

Fanyeni kazi kwa bidii kulinda taswira ya TARURA

Waziri Ridhiwani: Vyama Vya Wafanyakazi, Nguzo Ya Mahusiano Mema Mahali Pa Kazi

Wagonjwa wa Magonjwa Yasiyoambukiza waongezeka Temeke

‘Viswaswadu’ kutumika kuboresha daftari la wapiga kura

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Next Article Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?