MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TOSCI Inatoa Elimu Ya Kufahamu Mbegu Bandia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TOSCI Inatoa Elimu Ya Kufahamu Mbegu Bandia
Habari

TOSCI Inatoa Elimu Ya Kufahamu Mbegu Bandia

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu, Dodoma
TAASISI ya Kudhibiti Ubora Wa Mbegu Tanzania (TOSCI) inawataka wakulima kuitumia taasisi hiyo kupata mafunzo ya kina kuhusu mbegu bora na namna ya kuzifahamu zile mbegu bandia.

Mtafiti Na Mkaguzi Wa Mbegu kutoka TOSCI, Neema Yohana amesema hayo katika banda la taasisi hiyo lililopo katika viwanja vya Chinangali Park kwenye Wiki ya Utumishi inayoendelea jijini Dodoma.

Amesem matumizi ya mbegu bandia yamesababisha wakulima kupote@ kipato kwa kupata mazao hafifu na hata kutopata mavuno kabisa.

” Sheria ya mbegu ya mwaka 2003 inamlinda mkulima asiuziwe mbegu zisizo na ubora ama mbegu bandia,” amesema Neema na kuongeza kuwa Taasisi hiyo inashiriki katika wiki hiyo kutoa elimu kwa wakulima,hivyo ni muhimu kufika ili kupata uelewa wa kutosha.

Amesema yapo mambo muhimumya kuzingatia wakati wa kununua mbegu ikiwa ni pamoja na kununua mbegu zilizoidhinishwa kupandwa katika ukanda uliopo,kununua mbegu iliyo kwenye kifungashio halisi ambacho hakijafunguliwa na chenye maelezo ya jina la kampuni, na fungu la mbeigu.

Amesema mambo mengine muhimu ni aina ya jamiimya zao,asilimia ya uotaji,asilimia ya usafi na tarehe ya kupimwa ubora maabara na kununua mbegu iliyo na lebo ya TOSCI.

You Might Also Like

OUT yaunda Kamati ya Ufuatiliaji na Tathmini Mradi wa HEET

VETA Kujenga Mahusiano Na Wenye Ujuzi, Wabunifu

Waziri Mkuu Majaliwa Akoshwa Na Tafiti Ya Mhitimu OUT

TARI Yanufaisha Wadau Wa Kilimo, Ugunduzi Wa Mbegu Bora Na Za Kisas

TPHPA Tuna Mchango Mkubwa Katika Utoshelevu Wa Chakula – Ndunguru

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jua Namba Zako Okoa Maisha Yako
Next Article TBA Yakaribisha Wawekezaji Kushirikiana  Kwenye  Miradi Ya Ujenzi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

WRRB YATOA FURSA MPYA KWA WAFUGAJI NCHINI
Habari June 19, 2026
Mfumo Wa  PPAA Waongeza Ufanisi  Kusimamia Malalamiko Ya Zabuni
Habari June 19, 2026
TBA Yakaribisha Wawekezaji Kushirikiana  Kwenye  Miradi Ya Ujenzi
Habari June 19, 2026
Jua Namba Zako Okoa Maisha Yako
Habari June 19, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?