MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jua Namba Zako Okoa Maisha Yako
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jua Namba Zako Okoa Maisha Yako
Habari

Jua Namba Zako Okoa Maisha Yako

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Lyatuu, Dodoma
  TAASISI  ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) inaendeea kuhamasisha wananchi kujua hali zao za afya kupitia kampeni ya “Jua Namba Zako”, inayofanyika katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwenye Viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma.
Akizungumza  na waandishi wa habari waliotembelea banda la JKCI, Meneja wa Huduma na Utawala wa taasisi hiyo, Josephat Asenga, amesema kampeni hiyo inalenga kuwahamasisha wananchi kufahamu viashiria muhimu vya afya ili kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza.
Kwa upande wake, Dkt Daud  Bwilenza amesema hadi kufikia siku ya tatu ya maadhimisho hayo, JKCI imehudumia watu 170 waliopimwa magonjwa ya moyo, umeme wa moyo na kisukari, huku zaidi ya wagonjwa 20 wakipewa rufaa kwa uchunguzi na matibabu ya kina.
Habari Picha 12441
Dkt. Bwilenza amesema ongezeko la magonjwa ya moyo na kisukari linachangiwa na sababu zinazoweza kuzuilika ikiwemo kutofanya mazoezi, ulaji usiozingatia lishe bora na kutofanya uchunguzi wa afya mara kwa mara.
Ametoa wito kwa wakazi wa Dodoma na wananchi wote wanaotembelea maadhimisho hayo kufika katika banda la JKCI kupima afya zao, kupata ushauri wa kitaalamu na huduma za matibabu ili kubaini changamoto za kiafya mapema na kuanza matibabu kwa wakati.

You Might Also Like

Mabalozi Wa Utalii Waahidi Kuulinda Ushoroba Wa Kwakuchinja

Profesa Nagu Aridhishwa Na Huduma Katika Banda Jumuishi La Ofisi Ya Waziri Mkuu Sabasaba 

 Mfumo Wa REA  Wa Digital Platform  Wapongezwa Na Waziri Kikwete

Shule 216 Za Serikali Zatumia Nishati Safi Ya Kupikia – Kapinga

TASAC yahadharisha wavuvi, wasafirishaji majini kuhusu upepo mkali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Hananja Awataka Vijana Kufikiri Mara Mbili Kabla ya Kufuata Wito wa Maandamano
Next Article TOSCI Inatoa Elimu Ya Kufahamu Mbegu Bandia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mfumo Wa Kidijitali Wa PSSSF Wamvutia Mkurugenzi Wa BOT
Habari August 5, 2026
FAO Yasisitiza Kutowapa Mifugo Dawa Bila Maelekezo Ya Watalaam
Habari August 5, 2026
Balozi Wa Kudumu Wa Mashirika Ya UN Atembelea FAO Nanenane
Habari August 5, 2026
Wadau Wamiminika Banda La REA Katika Maonesho Ya Nanenane  2026
Habari August 5, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?