MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ushirikiano wa TEA, Halmashauri wapewa msukumo kuimarisha mifuko ya elimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ushirikiano wa TEA, Halmashauri wapewa msukumo kuimarisha mifuko ya elimu
Habari

Ushirikiano wa TEA, Halmashauri wapewa msukumo kuimarisha mifuko ya elimu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
VIONGOZI wa Serikali za Mitaa nchini wametakiwa kuimarisha ushirikiano na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika kuanzisha na kuendesha Mifuko ya Elimu ya Halmashauri ili kuongeza kasi ya maendeleo ya sekta ya elimu.
Wito huo umetolewa wakati wa Mkutano Mkuu Maalum wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT) uliofanyika Aprili 22, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), ambapo TEA iliwasilisha mada kuhusu nafasi yake katika kukuza elimu kupitia Mfuko wa Elimu wa Taifa.
Kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Dkt. George Mofulu, Meneja wa Utafutaji Rasilimali na Hamasa aliwasilisha mada hiyo, akieleza mafanikio yaliyopatikana.
Alibainisha kuwa katika kipindi cha 10 (2014/15–2024/25), jumla ya miradi 1,711 yenye thamani ya Sh. Bilioni 128.5 imetekelezwa kupitia mfuko huo.
Aidha, TEA ilikumbusha utekelezaji wa Waraka wa Serikali Na. 1046 na 1047 wa mwaka 2020 unaozitaka Halmashauri kuanzisha na kusimamia Mifuko ya Elimu.
 Hata hivyo, tathmini ya mwaka 2025 imeonesha kuwa zaidi ya asilimia 76 ya Halmashauri bado hazijatekeleza kikamilifu agizo hilo.
Kutokana na hali hiyo, mamlaka hiyo imesisitiza umuhimu wa Halmashauri kuchukua hatua za haraka kuanzisha mifuko hiyo ili kuongeza vyanzo vya ndani vya rasilimali na kuimarisha maendeleo ya elimu kupitia ushirikiano na wadau wa ndani.
Akihitimisha, Dkt. Mofulu alisema TEA ipo tayari kushirikiana na Halmashauri zote nchini kuhakikisha mifuko hiyo inaanzishwa na kuendeshwa kwa ufanisi.

You Might Also Like

Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA

Mifugo Mingi Chanzo Cha Uchafuzi Maji Ziwa Victoria

NIT Yasema Ina Uwezo Wa Kufundisha Kozi Ya Urubani

Kifo cha Ndugai Kisigeuzwe Siasa – Familia

Ndunguru: Mabadiliko Ya Tabianchi Yanachangia Kuwepo Kwa Magonjwa, Wadudu Kwenye Mazao

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kisima Kimoja Cha Gesi Chaonesha Mshangao Kwa Uzalishaji Wa Gesi-PURA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kisima Kimoja Cha Gesi Chaonesha Mshangao Kwa Uzalishaji Wa Gesi-PURA
Habari April 22, 2026
‎ ‎EWURA  Yatoa  Leseni Za Mafundi Umeme  Zaidi Ya 1000
Habari April 21, 2026
Wizara Ya Nishati Kutekeleza Dira Ya Taifa 2050,Kuhamasisha Matumizi Ya  Nishati Safi
Habari April 21, 2026
Mandingo: Jiungeni Mkunga Marathon Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto
Habari April 21, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?