MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watanzania Wametakiwa Wasiwachague Wanaotumia Rushwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watanzania Wametakiwa Wasiwachague Wanaotumia Rushwa
Habari

Watanzania Wametakiwa Wasiwachague Wanaotumia Rushwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: WATANZANIA wametakiwa wawe makini kwa kutowachagua watu wanaosaka uongozi kwa kutumia nguvu ya rushwa.
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God (EAGT) Gosheni, Evance Mushi ametoa angalizo hilo alipokuwa akihubiri na kueleza jinsi ya kuwapata viongozi bora.
Mushi amesema wagombea wenye sifa wanatakiwa kugombea nafasi mbalimbali na kunadi sera zao ila wajiepushe na yale yanayoweza kuwa machafuko mbele za Mungu.
Amewataka wagombea kutojihusisha na vitendo vya kuwashawishi wapigakura kwa kutoa rushwa au kwenda kwa waganga wa kienyeji.
Pia amewakemea wale ambao wanatafuta nafasi mbalimbali kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji na kueleza kuwa taifa haliwezi kuendeshwa na watu wa aina hiyo bali wacha Mungu wenye hofu ya Kimungu.
“Ni aibu kuwa na taifa linaloongozwa na viongozi wanaoingia madarakani kwa njia ya rushwa au kwa nguvu za giza viongozi wa aina hiyo ni wazi kuwa watakuwa mafisadi na wasiokuwa na uchungu wa rasilimali za Taifa na badala yake watakuwa watu wa kutafuta faida yao binafsi,” amesema.
Kwa upande mwingine amehimiza vijana kufanya kazi kwa kuwa ni agizo la Mungu kwamba atabariki kazi ya mikono ya yule anayefanya.
“Kumezuka mtindo wa watu kutofanya kazi kwa kigezo kuwa wanasubiri miujiza ya baraka kwa kumiliki majumba,magari na mali mbalimbali jambo ambalo si kweli na hakuna muujiza wa aina hiyo na wale wanaohamasisha miujiza bila ya kuwataka watu wafanye kazi ni matapeli tu,” amesema.
Oktoba Mwaka huu kutafanyika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais.

You Might Also Like

Wana Dodoma Wakoshwa Na Uboreshaji Mitaala

Wizara Ya Kilimo Yajipanga Vema Maonesho ya Kimataifa Ya Biashara

Magonjwa ya misuli yaongezeka mahala pa kazi-OSHA

Maganga Atembelea Banda La Ofisi Ya Waziri Mkuu, Maonesho Ya Wiki Ya Vijana Mbeya

TALGWU Wakerwa Na Wanasiasa Kuwadhalilisha Watumishi Wa Umma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article PIC Uwekezaji Bidhaa Za Ngozi Utaongeza Mapato
Next Article Atoa Maelekezo Kwa Chuo Cha Hombolo Kuwajengea Uwezo Viongozi Wa Mitaa Na Vijiji -Kapinga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?