MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: PIC Uwekezaji Bidhaa Za Ngozi Utaongeza Mapato
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > PIC Uwekezaji Bidhaa Za Ngozi Utaongeza Mapato
Habari

PIC Uwekezaji Bidhaa Za Ngozi Utaongeza Mapato

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Ridhiwani Aihakikishia Uwekezaji Endelevu
Na Lucy Ngowi
KILIMANJARO: KAMATI ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), imepongeza serikali kwa uwekezaji wenye tija na manufaa kwa  maendeleo ya nchi  katika kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za ngozi Kilimanjaro International Leather Industries Co Ltd.
Akizungumza baada ya kutembelea kiwanda hicho,  Mwenyekiti wa kamati hiyo Agustine Holle amesema uwekezaji waliouona utaiwezesha  serikali kuongeza  mapato.
Pia amesema kiwanda hicho kitaunufaisha mkoa wa Kilimanjaro pamoja na mikoa ya jirani kwa kuboresha mfumo wa maisha na kuongeza kipato kwa wakazi wake.
Amesema kiwanda hicho kitakapokamolika kitatoa ajira 3000 za moja kwa moja, nyingine zisizo za moja kwa moja 4000.
Naye Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema ataendelea kusimamia maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuufanya uwekezaji huo unakuwa endelevu kwa manufaa ya watanzania na nchi.

You Might Also Like

TARURA Dar Yaendelea Na Ujenzi Wa Miundombinu Ya Barabara Iliyosimama Kutokana Na Mvua

Halmashauri Zahimizwa Kujenga Viwanda Vya Michezo.

UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa

Elimu ya Ufundi Yachangia Maendeleo ya Taifa – VETA

Rais Samia azindua bwawa la umwagiliaji Mtibwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article BMT Yaleta Kicheko Kwenye Michezo
Next Article Watanzania Wametakiwa Wasiwachague Wanaotumia Rushwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?