MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UDSM Yabuni Teknolojia Mpya ya Kuhesabu Samaki Kwa Haraka 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UDSM Yabuni Teknolojia Mpya ya Kuhesabu Samaki Kwa Haraka 
Habari

UDSM Yabuni Teknolojia Mpya ya Kuhesabu Samaki Kwa Haraka 

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: CHUO Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM), kimeibuka na teknolojia mpya inayolenga kusaidia wafugaji wa samaki kwa kutumia mfumo wa kuhesabu samaki kwa njia ya kiotomatiki.
Mtaalamu wa maabara kutoka UDSM, Ditram Ngairo ameeleza hayo katika maonesho ya nanenane ya Kitaifa na Kimataifa yanayoendelea mkoani Dodoma.
Amesema katika ufugaji wa samaki kuna mambo makuu matatu yanayopaswa kuzingatiwa ikiwemo mazingira ya samaki ambayo ni maji na eneo la kufugia kama bwawa au vizimba,  afya na ustawi wa samaki, pamoja na biashara ya samaki kati ya mfugaji na mnunuzi.
Amesema changamoto kubwa imekuwa ni namna ya kuhesabu idadi ya samaki kwa usahihi. Wafugaji wengi wamekuwa wakitumia njia za kupima au kuhesabu kwa mikono, ambazo zimekuwa zikichukua muda mrefu, kusababisha vifo vya samaki, na kuwapa samaki msongo wa mawazo ambao huathiri ukuaji wao.
Kwa kutambua tatizo hilo, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia kwa watafiti wake kimebuni mfumo wa kuhesabu samaki kwa njia ya kiotomatiki.
“Mfumo huu unapunguza muda wa kuhesabu, hupunguza vifo vya samaki, na huongeza ufanisi wa uzalishaji,” amesema.
Amesema  teknolojia hiyo haijawahi kutumika nchini Tanzania, na chuo kinaionesha  katika maonesho hayo ya Nanenane mwaka huu 2025.
Wafugaji wa samaki wanahimizwa kutembelea banda la UDSM ili kujionea kwa vitendo namna mfumo huo unavyofanya kazi.

You Might Also Like

Sekta Ya Benki Iko Imara- Gavana BOT

Taasisi Za Serikali Zapewa Wiki Tano Kujiunga Na Mfumo

Kagera, Geita kuanza uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura

Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Yasisitiza Uhifadhi

TASAC yajipanga kuhudumia wafanyabiashara

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TARI Mlingano Yaleta Mapinduzi ya Mkonge, Viungo na Sayansi ya Udongo Tanzania
Next Article Udiwani Kata Ya Mbabala Kizungumkuti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?