MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ubunifu Na Kufanya Tafiti Kwawezesha UDOM Kupokea Tuzo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ubunifu Na Kufanya Tafiti Kwawezesha UDOM Kupokea Tuzo
Habari

Ubunifu Na Kufanya Tafiti Kwawezesha UDOM Kupokea Tuzo

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

CHUO Kikuu Cha Dodoma (UDOM) kimepokea tuzo ya mshindi kwa makundi ya vyuo vikuu katika maoneshobya 49 ya Biashara maarufu kama sabasaba ikiwa ni kutokana na jitijada zake za kuwa na tafiti pamoja na bunifu mbalimbali.

Akizungumza baada ya kupokea Tuzo hiyo Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma Wa UDOM Profesa Razack Lokina amesema katika maonesho hayo kazi nzuri imefanywa ambazo zimevutia wananchi wengi.

Amesema katika maonesho hayo wamekuwa na bunifu na tafiti wakitoa huduma za Tiba,Sheria, kupima afya na wanajivunia kuwa na watalaam katika maoneshob hayo.

,”Siri Ya mafanikio hadi Chuo cheti kushinda ni kufanya maandalizi mapema,Chuo cheti ni kikubwa na lazima muonekano wetu uangaze ule ukubwa Wa Chuo,” amesema Profesa Kilokina.

Amesema zipo bunifu nyingi zimefanyika na katika maonesho hayo Wamekuja na bunifu za kisayansi za roketi lakini Kuna dawa lishe, na miradi mingi ya uwekezaji imeoneshwa katika maonesho hayo pamoja na namna ya kubadilishabtaka za plastiki kuwa mkaa safi na Kutoa ushauri kwenye Sheria,Tiba na mambo mengine ya afya.

Hata hivyo anawakaribisha wazazi kupeleka watoto wao kusoma katika Chuo hicho ambacho dirisha la udahili linafungulia kuanzia Julia 15,2025 kwani Kuna program mbalimbali ikiwemo Tiba,famasia,biashara ,Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ,(TEHAMA) na uinjinia.

You Might Also Like

CHAUMMA kuanzisha mjadala wa elimu ndani ya siku 100

Ridhiwani Awashika Mkono Wenye Mahitaji Maalum

Serikali imejipanga Mkakati wa Taifa wa Matumìzi ya nishati safi ya kupikia – Mramba

Waziri Mkuu Asisitiza Elimu ya Bima ya Afya kwa Wote Vijijini

TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Utafiti Wa Nguvu Kazi, Mapato Ya Kaya Kutoa Taswira Mpya Ya Maendeleo
Next Article Watu Zaidi Ya 3500 Wapatiwa Huduma Ya Kisheria Wizara Ya Katiba Na Sheria
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
Ofisi Ya Taifa Ya Takwimu  Kufanya Tafiti Kwa Wakala Wa Huduma Za Fedha,Viwandani
Habari March 12, 2026
GCLA  Yanunua Mitambo Mikubwa Inayogharimu Sh Bil 32.25 Kuimarisha Uchunguzi Wa Sampuli
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?