MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Elimu Itolewe Kuhusu Ufahamu Wa Kuwepo Kwa Fedha Maalum – Ridhiwani
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Elimu Itolewe Kuhusu Ufahamu Wa Kuwepo Kwa Fedha Maalum – Ridhiwani
Habari

Elimu Itolewe Kuhusu Ufahamu Wa Kuwepo Kwa Fedha Maalum – Ridhiwani

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
ARUSHA: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri  Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema moja ya changamoto kubwa kwa sasa ni ufahamu hafifu wa kuwepo kwa fedha maalum zinazotengwa toka kwenye manunuzi ya Umma.
Ridhiwani amesema hayo alipozungumza katika Kongamano lililoandaliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), lililolenga kujadili Ununuzi wa umma na Ukuzaji wa kampuni za wazawa na makundi maalum kwa ukuaji wa Uchumi Jumuishi katika zama za mabadiliko ya teknolojia ama  Kidigitali lililofanyika Jijini Arusha Juni 16, 2025.
Amesema jambo muhimu ni kutoa elimu na kuwashirikisha wadau wakiwemo  madiwani na wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa na Majiji ili elimu ya kuwepo kwa fedha maalum zinazotengwa toka kwenye manunuzi ya Umma ijulikane.
“Umuhimu na msisitizo kama huu umesaidia sana vijana, wanawake na wenye ulemavu kukimbilia zile asilimia 10 zinazotengwa na Halmashauri kutoka kwenye mapato ya ndani,”amesema.
Pia ameeleza umuhimu wa kuendelea kutambua kuwa mabadiliko mbalimbali yaliyofanywa na serikali yanalengwa kuwasaidia na kukuza ustawi wa Watu wenye mahitaji maalum.
Amesema serikali imewezesha vijana na watu wenye ulemavu waweze kujiinua kiuchumi ikiwemo maelekezo ya kisheria ya kuendelea kutenga Asilimia 30 ya zabuni za ununuzi wa umma.
Ridhiwani pia amewashukuru PPRA kwa kazi nzuri na kutambua umuhimu wa kuandaa kongamano hilo ambalo kwa hakika linalenga kuwawezesha wananchi.

You Might Also Like

Tanzania Na Italy Wasaini Makubaliano Kuongeza Ubora Mafunzo Ya Ukarimu

Miradi Dodoma Yamkuna Rais Samia

UDSM Yatumia Teknolojia Ya Kidijitali Kukabili Sumukuvu

TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  

Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kasulu DC Yapongezwa Kwa Kupata Hati Safi
Next Article FAJ Yataka Wahamiaji Wa Kazi Wa Afrka, Wanaokwenda Maeneo Mengine Walindwe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
Waraibu Wa Dawa Za Kulevya 85,425  Wapatiwa Huduma Ya Tiba Nchini Kwa Mwaka 2025
Habari May 29, 2026
NHC Kuendelea Kutekeleza Miradi Mikubwa Ya Kimkakati Ya Ujenzi Wa Nyumba
Habari May 28, 2026
Kutokulipa Kodi Ya Pango La Ardhi Unakosa Sifa Za Kugombea Nafasi Za Uongozi
Habari May 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?