MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TFNC Yahimiza Wanaotoa Ushauri Wa Lishe Mitandaoni Kushirikiana Na Taasisi Zenye Mamlaka
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TFNC Yahimiza Wanaotoa Ushauri Wa Lishe Mitandaoni Kushirikiana Na Taasisi Zenye Mamlaka
Habari

TFNC Yahimiza Wanaotoa Ushauri Wa Lishe Mitandaoni Kushirikiana Na Taasisi Zenye Mamlaka

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu,Morogoro
TAASISI ya Chakula na Lishe (TFNC) imewashauri  wataalam wa lishe na afya wanaotoa ushauri wa lishe kupitia mitandao ya kijamii kushirikiana na Taasisi zenye mamlaka ili kuhakikisha jamii inapata elimu sahihi yenye ushahidi wa kitaalamu.
Ofisa Lishe Na Mtafiti wa TFNC, Maria Ngilisho amesema hayo  katika Tamasha la Nne la Taifa la Utamaduni mkoani Morogoro na kuongeza kuwa  taasisi hiyo imepewa dhamana ya kuratibu shughuli za chakula na lishe, ikiwemo kufanya tafiti, kutoa elimu na kujenga uwezo kwa wadau mbalimbali.
Amesema ni kweli wapo wanaotoa huduma za lishe kwa jamii kupitia  mitandao ya kijamii na Taasisi  imekuwa ikiona hibyo inawahimiza kushirikiana nao ili kufikisha kile kinachotakiwa kwa jamii.
Habari Picha 13461
Hata hivyo imesisitiza umuhimu wa jamii kuzingatia ulaji bora na mtindo wa maisha unaofaa katika kudhibiti na kutokomeza aina mbalimbali za utapiamlo nchini.
Amesema kaulimbiu ya taasisi hiyo katika tamasha hilo ni “Chakula Chetu, Utamaduni Wetu, Afya Yetu,” akisisitiza wananchi kula mlo kamili unaojumuisha vyakula kutoka katika makundi sita ili kupata virutubishi muhimu kwa afya.
Ngilisho amesema elimu hiyo inaambatana na umuhimu wa kuzingatia usafi wa mazingira, maji na chakula, kuepuka matumizi ya vileo, sigara na tumbaku, pamoja na kufanya mazoezi kwa angalau dakika 30 kila siku.
Habari Picha 13462
Kadhalika ameeleza kuwa maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe huchunguza sampuli za vyakula na binadamu ili kubaini virutubishi na upungufu wa vitamini au madini, huku matokeo yakitumika kutoa ushauri wa kitaalamu kwa Serikali kuhusu hatua za kukabiliana na changamoto za lishe.

You Might Also Like

TPDC Kufikisha Gesi Nchi Nzima  Ndani Ya Miaka Miwili Na Nusu  Kuanzia Sasa

Singida Yapokea Zaidi Ya Milioni  Moja 

Majaliwa Afurahishwa Na Ustadi Wa Vijana Wenye Ulemavu Veta

UVCCM Yazindua Kampeni Ya Kutetea Ukweli, kutokomesha Upotoshaji, Uongo

Tunaunga mkono jitihada za Rais Samia katika Utalii

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TaSUBa Yahimiza Vijana Kuzifikia Fursa Za Mafunzo Ya Sanàa Na Utamaduni
Next Article PBPA Yashiriki Tamasha La Nne La Kitaifa La Utamaduni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

PBPA Yashiriki Tamasha La Nne La Kitaifa La Utamaduni
Habari August 27, 2026
TaSUBa Yahimiza Vijana Kuzifikia Fursa Za Mafunzo Ya Sanàa Na Utamaduni
Habari August 27, 2026
Mfuko Wa Utamaduni Watoa Sh Bil 14.7 Kwa Miradi Ya Sanaa
Habari August 26, 2026
BMT Kutumia Tamasha La Taifa La  Utamaduni Kuelimisha Wananchi Kuhusu Fursa Za Afcon
Habari August 26, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?