MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni
Habari

TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Elimu Tanzania ( TEA), iko mbioni kutafuta zaidi ya Sh. Bilioni 10 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwenye takriban shule 500 za sekondari nchini ndani ya kipindi cha miaka mitano.
Aidha mamlaka hiyo imeungana na Ubalozi wa Uingereza pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa – Mpango wa Chakula katika kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mashuleni.
Kaimu Mkurugenzi wa Utafutaji Rasilimali na Usimamizi wa Miradi ya Elimu wa TEA, Masozi Nyirenda amesema hayo katika warsha maalum iliyowakutanisha walimu wakuu, wapishi, na walimu wa lishe kutoka shule 50 za Halmashauri ya Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Warsha hiyo iliyofanyika katika Shule ya Msingi Liwati, imelenga shule zinazotarajiwa kufadhiliwa na WFP ili kuanza kutumia nishati safi ya kupikia.
Katika warsha hiyo, Nyirenda aliambatana na Kaimu Meneja wa Utafutaji Rasilimali na Hamasa wa TEA, Dkt. George Mofulu.
Nyirenda ametoa wito kwa wadau kushirikiana na mamlaka hiyo kufadhili mradi huo ili kutunza mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji.
Kwa upande mwingine, Balozi wa Uingereza nchini, Marianne Young pamoja na Mwakilishi wa WFP nchini, Ronald Tran Ba Huy, wamepongeza Serikali kwa juhudi zake za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mashuleni na kuahidi kuendelea kuunga mkono juhudi hizo.

You Might Also Like

Waziri Mkuu Aagiza Kuimarisha Ufuatiliaji Na Tathmini Kuleta Maendeleo

Kamishna TRA Atua Kwa Malasusa Kushirikiana Elimu Kwa Mlipa Kodi

Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu

Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.

Ununuzi Wa Ndege Anga Za Kilimo Uanze Sasa-Bashe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Aongoza Waliojiajiri Kujiunga, Kuweka Akiba NSSF
Next Article Waislamu Watakiwa Kusimamia Misingi Ya Upendo, Ushirikiano, Amani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?