MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni
Habari

TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Elimu Tanzania ( TEA), iko mbioni kutafuta zaidi ya Sh. Bilioni 10 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwenye takriban shule 500 za sekondari nchini ndani ya kipindi cha miaka mitano.
Aidha mamlaka hiyo imeungana na Ubalozi wa Uingereza pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa – Mpango wa Chakula katika kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mashuleni.
Kaimu Mkurugenzi wa Utafutaji Rasilimali na Usimamizi wa Miradi ya Elimu wa TEA, Masozi Nyirenda amesema hayo katika warsha maalum iliyowakutanisha walimu wakuu, wapishi, na walimu wa lishe kutoka shule 50 za Halmashauri ya Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Warsha hiyo iliyofanyika katika Shule ya Msingi Liwati, imelenga shule zinazotarajiwa kufadhiliwa na WFP ili kuanza kutumia nishati safi ya kupikia.
Katika warsha hiyo, Nyirenda aliambatana na Kaimu Meneja wa Utafutaji Rasilimali na Hamasa wa TEA, Dkt. George Mofulu.
Nyirenda ametoa wito kwa wadau kushirikiana na mamlaka hiyo kufadhili mradi huo ili kutunza mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji.
Kwa upande mwingine, Balozi wa Uingereza nchini, Marianne Young pamoja na Mwakilishi wa WFP nchini, Ronald Tran Ba Huy, wamepongeza Serikali kwa juhudi zake za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mashuleni na kuahidi kuendelea kuunga mkono juhudi hizo.

You Might Also Like

TARI: Mabadiliko Ya Tabia Nchi Yamepunguza Ufanisi Wa Mbegu

Katibu Mkuu CCM Dkt. Nchimbi Akutana na Katibu Mkuu CRC

TASAC yajipanga kuhudumia wafanyabiashara

Wapongeza Nyongeza Ya Likizo Kwa Aliyejifungua Mtoto Njiti

TASU yaiomba serikali inunue meli kutoa ajira kwa mabaharia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Aongoza Waliojiajiri Kujiunga, Kuweka Akiba NSSF
Next Article Waislamu Watakiwa Kusimamia Misingi Ya Upendo, Ushirikiano, Amani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mwandishi Lucy Ngowi Miongoni mwa Waliong’ara Mei Mosi
Habari May 2, 2026
Tanzania yaendelea kuwa Shule ya Utumishi Barani Afrika,
Habari April 29, 2026
Wizara Ya Kilimo Yaomba Bunge Kuidhinisha Trilioni 1.1,Yaweka Mikakati Kuimarisha Sekta Hiyo
Habari April 28, 2026
NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Habari April 27, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?