MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mkutano wa Mawaziri wa SADC Wahitimishwa Pretoria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mkutano wa Mawaziri wa SADC Wahitimishwa Pretoria
Habari

Mkutano wa Mawaziri wa SADC Wahitimishwa Pretoria

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
PRETORIA, AFRIKA KUSINI: MKUTANO wa siku mbili wa Baraza la Mawaziri wa jumuiya ya kikanda ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa jijini Pretoria nchini Afrika Kusini Machi 13, 2026.
Mkutano huo ulilenga kuongeza kasi ya mtangamano wa kikanda ili kuharakisha maendeleo, kutengeneza ajira, kuimarisha usalama wa chakula na kuongeza upatikanaji wa nishati kwa wananchi wa nchi wanachama.
Habari Picha 11465
Ujumbe wa Tanzania katika mkutano huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ngwaru Maghembe, akifuatana na Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Luswetula.
Akizungumza wakati wa kufunga mkutano huo, Mwenyekiti wa mkutano ambaye pia ni Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Afrika Kusini, Ronald Lamola, amesisitiza umuhimu wa nchi wanachama kudumisha umoja na mshikamano ili kuhakikisha maazimio yote yaliyokubaliwa yanatekelezwa kikamilifu.
Habari Picha 11466
Katika majadiliano yao, Mawaziri wamesisitiza umuhimu wa kuharakisha utekelezaji wa miradi ya kikanda, hususan ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji, matumizi ya nishati safi na kuongeza uwekezaji katika sekta ya viwanda.
Aidha, mkutano huo ulijadili utekelezaji wa bajeti ya SADC kwa mwaka wa fedha 2025/2026 na maandalizi ya bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027.
Habari Picha 11467
Wakati wa mkutano huo, nchi wanachama pia zilitahadharishwa kuhusu kuongezeka kwa taharuki katika siasa za kimataifa pamoja na vita vinavyoendelea katika Mashariki ya Kati, hali inayoweza kuathiri uchumi wa nchi za SADC na dunia kwa ujumla.
Mkutano huo ulitanguliwa na vikao vya Kamati ya Makatibu Wakuu pamoja na Kamati ya Fedha, ambavyo vilikuwa na jukumu la kuandaa ajenda na kuwasilisha ripoti mbalimbali za utekelezaji kwa ajili ya majadiliano ya Mawaziri.
Habari Picha 11468

You Might Also Like

USCAF Yawapatia Mafunzo Ya TEHAMA Walimu 1585

Profesa Ndunguru: Tumewezesha Usafirishaji wa Mazao Mbalimbali Yenye Thamani ya Trilioni 15.6

Sekta Ya Madini Yazidi Kupaa,  Mchango Wake Kwa Pato La Taifa Waongezeka 

TEA, UNICEF na Canada waendeleza mageuzi ya elimu Sikonge

CHAUMMA Yataka Kuvunja Bodi ya Korosho, Kuunda Mamlaka Mpya ya Mazao ya Kimkakati

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania, Afrika Kusini Zakubaliana Kuharakisha Makubaliano ya Ushirikiano
Next Article Rais Samia Awekeza Mabilioni Kuboresha Sekta ya Uvuvi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Habari April 27, 2026
TUCTA: Waajiri Watekeeze Nyongeza Ya Kima cha Mishahara Sekta Binafsi
Habari April 27, 2026
Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?