MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Yalenga Kufikia Asilimia 51 Ya Ushiriki Wa Wanawake Katika Sayansi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Yalenga Kufikia Asilimia 51 Ya Ushiriki Wa Wanawake Katika Sayansi
Habari

Tanzania Yalenga Kufikia Asilimia 51 Ya Ushiriki Wa Wanawake Katika Sayansi

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Lyatuu, Dodoma
WAZIRI  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amesema  ushiriki wa Wanawake na Wasichana katika sayansi ni nyenzo muhimu ya maendeleo ya Taifa kiuchumi.
Amesema Tanzania inalenga kufikia angalau asilimia 51 ya ushiriki wa wanawake katika sayansi na kwamba Serikali inaendelea kuwekeza ili kuongeza wataalam katika nyanja hiyo.
Habari Picha 11259
Profesa Mkenda ametoa kauli hiyo jijini Dodoma katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi, akieleza kuwa sayansi ni msingi wa maendeleo kwani huongeza tija katika uzalishaji na kutoa suluhisho la changamoto mbalimbali kijamii kupitia tafiti na matumizi ya teknolojia.
 Amesema  takwimu zinaonesha takribani  wanawake asilimia 36 Duniani, ni wataalamu wa sayansi na kwamba Tanzania inalenga kufikia angalau asilimia 51 ya ushiriki wa wanawake..
 Aidha, ameeleza kuwa Serikali imeendelea kuongeza fursa za elimu, ikiwemo ufadhili wa masomo kupitia Samia Skolashipu, kwa lengo la kuhamasisha wanafunzi kusoma fani za Sayansi, TEHAMA, Uhandisi na Sayansi Asilia.
 Maadhimisho ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi kwa mwaka 2026 yamekwenda sanjari  na uzinduzi wa Kampeni ya “Africa Educate Her” nchini Tanzania, inayolenga kuongeza upatikanaji wa elimu kwa wasichana na kuwapa fursa sawa za kujifunza na kufanikiwa.

You Might Also Like

Serikali Yachukua Hatua Madhubuti Kukuza Ajira kwa Wahitimu wa Vyuo

Serikali Yasisitiza Utoaji Huduma Bora Utekelezaji Bima Ya Afya

Serikali Kulinda Wabunifu Wa Silaha

UDSM Yabuni Teknolojia Mpya ya Kuhesabu Samaki Kwa Haraka 

Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Yasisitiza Uhifadhi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Makamu wa Rais Asisitiza Ubunifu, Uwekezaji Soko La Hisa La Dar es Salaam
Next Article Diwani Kata Ya Majengo Awasihi Wananchi Kufanya Kazi Kwa Bidii
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Teknolojia Ya Juisi YA Ndizi Kali Yafungua Fursa Mpya Za Viwanda, Ajira
Makala Uncategorized June 12, 2026
Serikali Yaingia Makubaliano Ya Ushirikiano Na DIT Kuimarisha Usimamizi Wa Mataifa
Habari June 8, 2026
Wananchi Waelimishwa Masharti ya Kubadilisha Noti Zilizochakaa, Kuungua na Kuchanika
Habari June 7, 2026
DMI Yawaalika Vijana Kujiunga Na Masomo Ya Ubaharia
Habari June 6, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?