MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Hakuna Tatizo La Kidini Wala Kiimani-JMAT
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Hakuna Tatizo La Kidini Wala Kiimani-JMAT
Habari

Tanzania Hakuna Tatizo La Kidini Wala Kiimani-JMAT

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu,Dodoma

JUMUIYA ya Maridhiano Na Amani Tanzania (JMAT) imesema Tanzania hakuna tatizo lolote la kidini wala kiimani na kwamba hakuna kundi lolote li nalonyimwa uhuru,kughasiwa au kuumizwa kwa sababu za kidini.
Katibu wa Jumuiya hiyo, Askofu Ìsrael Maasa .amesema hayo jijini Dodoma kufuatia taarifa iliyotolewa na baadhi ya wabunge wa Kamati ya Mambo ya njenya Bunge la Marekani kuhusu kupitia upya mahusiano  kati yaMarekani na Tanzania pamoja namshutuma za ubaguzi wa kidini .
Habari Picha 12239
Akizungumza,  katika kikao kilichowakutanisha viongozi  wa dini mbalimbali, Katibu amesema Tanzania imejengwa kwa misingi ya  umoja wa kitaifa na mshikamano wa kija ii,kuheshimiana kidini na kuishi pamoja kwa amani kwa miongo mingi tangu nchi irate uhuru.
Amesema watanzania bila kujali dinimzao wameishi pamoja kwa amani,kushirikiana katika maendeleo ya taifa,kuoana baina ya fa ilia za dini tofauti,kufanya biashara pamoja,kujenga urafiki na kuendeleza uta aduni wa kuheshi iana ambao u eifa ya Tanzania kuwa miongoni mwa mataifa yenye utuli u mkubwa barani Afrika.
“Shutuma dhidi ya uwepo wa ubaguzi wa kidini nchini Tanzania zinatusikitisha,kutukasirisha na kutufedhehesha, raia wa Marekani wanaoishi Tanzania ni mashahidi wa kusha iri kwa uhuru wa kuabudu nchini,” amesema.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Shekihe Alhad Mussa Salum ameiomba serikali kufanya mapitio ya uhusiano wa kidiplo Asia na ya nchi baina ya Tanzania na Marekani ili pa oja na mambo mengine iweke msimamo wa kukataa na kutovumilia uchonga ishi wa kidini unaoweza kuliingiza taifa kwenye  matatizo.
Habari Picha 12240
Amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha nia ya dhati ya ku hukua hatua dhidi ya mapungufu ya.iyotokea 2025 ikiwa ni pamoja na kuunda tume ya uchunguzi na nyingine ya kijinai ili uwzjibikaji wz haki na maridhiano vichukue nafasi na kuwezesha kupatikana kwa Katiba mpya  kama ambavyo Rais Samia amekwishakuahidi.
Ametoa wito kwa wadau wote wa ndani na njemya nchi kuendelea kuunga mkono mazungumzo ya kujenga ,kuheshimu misingi ya kidiplomasia na kuendeleza ushirikiano unaojenga mahusiano bora baina ya mataifa mbalimbali.

You Might Also Like

Serikali Yawekeza Katika Utafiti wa Alizeti, Wakulima Wapate Mbegu Bora

Mbunge wa Monduli Aahidi Kusimamia Changamoto za Jimbo Lake

Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya SGR

??? Y????? M?????? W? M???? 1? Ku???????? N? K???????? M????? Ya Mi???? ???????? ????

Serikali Kumuenzi Mzee Morris, Ngoma Zake 10

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUCTA Yawataka Wanahabari Kueneza Elimu ya Fidia kwa Wafanyakazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TUCTA Yawataka Wanahabari Kueneza Elimu ya Fidia kwa Wafanyakazi
Habari May 26, 2026
JOWUTA Yataka Wanahabari Wasajiliwe WCF
Habari May 26, 2026
Teknolojia ya Kuvuna Sumu ya Nyuki Yafungua Fursa Mpya Tanzania
Makala May 25, 2026
NIDA Kufanya Usajili Wa Watoto  Kuanzia Umri Wa Kuzaliwa,Kutoa Namba Maalum
Habari May 25, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?