MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TALGWU Wakerwa Na Wanasiasa Kuwadhalilisha Watumishi Wa Umma
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TALGWU Wakerwa Na Wanasiasa Kuwadhalilisha Watumishi Wa Umma
Habari

TALGWU Wakerwa Na Wanasiasa Kuwadhalilisha Watumishi Wa Umma

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Danson Kaijage Dodoma.

CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) kimeelezwa kitendo cha viongozi wa kisiasa kuwanyanyasa wafanyakazi na wakati mwingine kuwatolea maneno ya unyanyasaji.

Habari Picha 10799

Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa TALGWU Tumaini Nyamhokya alipokuwa akimkaribisha Waziri wa Utumishi vijana na ajira Deu Sangu katika ufunguzi wa Kikao cha 31cha Baraza kuu la TALGWU Taifa kilichofanyika Jijini Dodoma.

Nyamhokya amesema kuwa imekuwa ikishusha molali ya utendaji kazi kwa watumishi ambao wanapokea maneno ya kero pale viongozi wa kisiasa wanapokuwa katika ziara za ukaguzi wa miradi.

Kiongozi huyo ameeleza kuwa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa hawataki kufanya vurugu ya aina yoyote wala kuingia barabarani badala yake wao wanaamini katika kukaa mezani na kufanya majadiliano kwa lengo la kumaliza migogoro.

“Tuwatake sasa wanasiasa kutumia lugha za Staha kwa wafanyakazi badala ya kutumia lugha za uzalilishaji kama kuwafokea hadharani kwa kuwaambia kuwa hawafai

“Sisi tukiwa wanachama wa chama cha wafanyakazi wa Serikali za mitaa tunaamini katika kufanya kazi kwa kuzingatia maadili kwa kuzingatia misingi ya sheria ya kazi na pale inapoonekana kuna tatizo basi zitumike njia sahihi za kuzungumza na watumishi wa Umma na siyo kuwazodoa hadharani na kuwadhalilisha kwenye vyombo vya habari”ameeleza Nyamhokya.

Habari Picha 10800
Habari Picha 10801
Habari Picha 10802
Habari Picha 10803

You Might Also Like

Kisaro Ahojiwa Kuhusu Migogoro ya Ardhi,  Mwinje Ajitosa na Suluhisho la Miundombinu na Umiliki wa Ardhi

Uvuvi Wa Kisasa Wainua Mwanza Kiuchumi

Ridhiwani Kikwete aziita sekta binafsi kushirikiana na serikali,  apokea vifaa tiba na madawati kutoka NMB

Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao

Biashara kidijitali inawezekana soko huru la Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia: Majaji na Mahakimu Simamieni Haki
Next Article TALGWU Taifa Yataja Kero Saba Kubwa za Watumishi wa Serikali za Mitaa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bunge Marathon kufanyika April 18,yakidhi viwango vya kimataifa
Habari April 14, 2026
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu, Aongoza Harambee Mei Mosi 2026
Habari April 14, 2026
Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu
Habari April 11, 2026
Waziri Ulega aridhishwa na miradi ya dharura TANROADS
Habari April 11, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?