MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Taasisi Za Dini Zinazofanya Biashara Zinatakiwa Kulipa Kodi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Taasisi Za Dini Zinazofanya Biashara Zinatakiwa Kulipa Kodi
Habari

Taasisi Za Dini Zinazofanya Biashara Zinatakiwa Kulipa Kodi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: TAASISI za kidini zinazofanya biashara badala ya kutoa huduma zinatakiwa kulipa kodi ya Serikali na si vinginevyo.

Kamishina wa TRA  Yusuph Mwenda, amesema hayo wakati akitoa taarifa ya maendeeo kwa Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Habari Maelezo Jijini Dodoma juu ya mafanikio ya Mamaka hiyo kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Amesema hayo baada ya kuulizwa swali na Mwandishi wa Habari wa Mfanyakazi Tanzania, aliyetaka kujua ni utaratibu gani uliowekwa kwa taasisi za dini zinazojenga vitaga uchumi na kuwakodosha wafanya biashara.
Akijibu swali hilo amesema,  taratibu zinaonesha wazi kwamba taasisi za dini zinazotoa huduma zinapewa misamaha ya kodi.
“Tunatoa misamaha ya kodi kwa taasisi  zinazotoa huduma lakini kama taasisi inafanya biashara au imejenga jengo na inakodisha inatakiwa kulipa kodi kwani taasisi hiyo inafanya boashara,” amesema.
Pia amesisitiza watanzania kulipa kodi kwa hiari kwa faida ya maslahi mapana kwa taifa.

You Might Also Like

TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu

AU yataka vyombo vya habari Afrika, kulinda Uhuru wa vyombo vya habari 

MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani

Katiba Na Sheria Kutoa Kipaumbele Kusikiliza Malalamiko Ya Wananchi

Shehena  Inayohudumiwa Bandarini Yaongezeka  Kufikia Tani Mil 27.76

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mbogamboga Na Vitunguu Vyaingiza Sh. Milioni 370 Kwa Miaka Minne
Next Article SEforALL Kuimarisha Ushirikiano Upatikanaji Nishati Endelevu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wadau Wa Kilimo Iondoeni Nchi Kwenye Uchuuzi Wa Mafuta Ya Kula-Chongolo
Habari July 30, 2026
Wadau Wa Kilimo Iondoeni Nchi Kwenye Uchuuzi Wa Mafuta Ya Kula-Chongolo
Habari July 30, 2026
Mradi Wa Njia Ya Kusafirisha Umeme Wa Msongo Wa Kilovolti 400 Chalinze -Dodoma Mbioni Kukamilika
Habari July 29, 2026
Kutoka Wazo Rahisi Hadi Mapinduzi ya Kilimo: Safari ya Rafiki Planter Inayosimulia Miaka 40 ya COSTECH
Makala July 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?