MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Siri ya ushindi JKT hii hapa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Siri ya ushindi JKT hii hapa
Habari

Siri ya ushindi JKT hii hapa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
“HAYA maonesho tumeyapa umuhimu wake kwa sababu tulidhamiria kushinda. Sio mara ya kwanza kupata ushindi. Tumeweka bidii na tulidhamiria tutashinda,”.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajab Mabele amesema hayo muda mfupi baada ya kutangazwa washindi wa kwanza wa jumla katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yajulikanayo kama 88, yaliyofanyika mkoani Dodoma.
Amesema katika maeneo ya kilimo, ufugaji na uvuvi wamekuwa wakiyafanya kitaalamu, na ni maeneo wanayoshughukika nayo siku zote kwa mwaka.
Amesema JKT  limepata ushindi wa kwanza wa jumla katika maonesho hayo kutokana na bidii waliyoionesha katika maandalizi ya maonesho hayo.
“Mahali hapa sisi ni pa kudumu, na siyo tupo wakati wa maonesho tu, na ushindi wowote ni bidii,hata mwanafunzi anapokuwa shuleni ,ili afanye vizuri anatakiwa kufanya bidii na ndiyo maana tumechukua ushindi huu na hata mwaka jana hapa Dodoma tulishinda nafasi ya kwanza,”amesema.
Amesema, “Katika kilimo,tunaonesha kilimo bora,katika mazao ya bustani tunalima kitaalam ,lakini pia katika eneo la mifugo nako  tunao ng’ombe wetu na mifugo mingine ambayo pia tunafuga kitaalam,
“Ukija katika eneo la uvuvi na ufugaji hali kadhalika tunafanya vizuri,tunazo teknolojia ya ufugaji samaki wa matenki ambao sisi JKT ndiyo tulianzisha Teknolojia hii na kuipeleka katika maonesho mbalimbali ambayo sasa hivi inafanywa na wengi.”amesema Meja Jenerali Mabele.

You Might Also Like

Waziri Mkuu Ashiriki Kumuombea Baba Wa Taifa

Ridhiwani Kikwete Azindua Miradi Ya Thamani Ya Bil. 1.7 Songwe

Miradi Ya Kusambaza Umeme Vitongojini Kukamilika Ifikapo 2030

IITA Kuleta Mabadiliko Ya Kilimo Afrika

Mgombea Urais Wa CCM, Dkt. Samia Aendelea Na Kampeni Temeke

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TMA yawafikia taasisi za utafiti wa kilimo
Next Article Maofisa Tarafa na Watendaji wa Kata Waaswa kuwa wabunifu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
Ofisi ya Rais Mipango Yaomba Bilioni 144.85 kwa Bajeti 2026/27
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?