MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Samia, Nchimbi Kuchukua Fomu Ya Urais Kesho
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Samia, Nchimbi Kuchukua Fomu Ya Urais Kesho
Habari

Samia, Nchimbi Kuchukua Fomu Ya Urais Kesho

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, pamoja na mgombea mwenza wake, Dkt. Emmanuel Nchimbi, wanatarajiwa kufika katika Ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi kesho Agosti tisa, 2025  saa 4:50 asubuhi kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi hizo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) – Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, amesema hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa ratiba rasmi ya Tume ya Uchaguzi, ambayo imepanga uchukuaji wa fomu za urais kufanyika kuanzia Agosti tisa hadi 27, mwaka huu 2025.
“Chama chetu kilishakamilisha mchakato wa ndani na kuwateua wagombea. Hivyo, kesho watachukua fomu rasmi na baadaye kurejea makao makuu ya chama kwa ajili ya kusaini na kuzungumza na wanachama,” amesema.
Aidha, alibainisha kuwa uchukuaji wa fomu za ubunge na udiwani utaanza rasmi Agosti 14 na kufungwa Agosti 27, 2025 saa 10:00 jioni, sambamba na fomu za urais.
Makalla amesisitiza kuwa siku ya kuchukua fomu ni ya kihistoria kwa CCM, na kwamba chama kimejipanga kuhakikisha kinaendelea kushika dola kwa kipindi kingine.

You Might Also Like

Udiwani Kata Ya Mbabala Kizungumkuti

Watanzania Washauriwa Kula Senene, Kumbikumbi, Msusa, Ngogwe Kuepuka Udumavu

UDSM Yaja Na Bajaji Inayotumia Maji Na Mafuta

Katiba Na Sheria Kutoa Kipaumbele Kusikiliza Malalamiko Ya Wananchi

Bashungwa Asema Wafungwa Kupewa Mafunzo Ya Ufundi Stadi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mgombea Udiwani Manyoni Adhalilishwa, Rushwa Yadaiwa Kuvuruga Kura Za Maoni
Next Article Dodoma Yang’ara Katika Mfumo wa Stakabadhi Ghalani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?