MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Polisi Dodoma Yawataka Wananchi Kutoa Taarifa 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Polisi Dodoma Yawataka Wananchi Kutoa Taarifa 
Habari

Polisi Dodoma Yawataka Wananchi Kutoa Taarifa 

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: JESHI la polisi Mkoa wa Dodoma limewaomba wakazi wa Mkoa huo kutoa taarifa za watu wanaowadhania wanaweza kuwa na viashiria vya uhalifu ili watiwe nguvuni.
Ombi hilo limetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari juu ya taarifa ya kukamatwa watu ambao wanadhaniwa ni waharifu katika maeneo mbalimbali katika Mkoa huo.
Katabazi amesema  jeshi hilo linawashikilia watuhumiwa wanne kwa kosa la kupatikana na silaha bila kuwa na kibali katika wilaya za Dodoma mjini na Mpwapwa.
Amesema Mei 17, mwaka huu 2025  majira ya saa kumi kamili jioni katika mtaa wa kikuyu mission jijini Dodoma walikamatwa watuhumiwa wawili wote wakazi wa kikuyu mission wakiwa na bastora ikiwa na risasi 13 kwenye magazine yake.
Kamanda huyo amesema.Mei 19 mwaka huu majira ya saa 11: 00 jioni katika mtaa wa Lukole wilaya ya Mpwapwa walikamatwa watuhumiwa wegine wawili wakiwa na silaha iliyotengenezwa kienyeji inayotumia risasi za Shortgun iliyokatwa mtutu na kitako pamoja na risasi tano.
Aidha Mei 18 mwaka huu, saa n 4: 40 usiku, mtaa wa Mbuyuni Kata ya Kizota walikamatwa Nestory Kimario (38) na Thomas Paschal maarufu kwa jina la Sigan (28), wote wakazi wa Mbabala.
Amesema watuhumiwa hao wamekutwa na mafuta aina ya Dizeli lita 2420 yakiwa kwenye madumu 89 yaliyohifadhiwa kwenye gari aina ya Toyota yenye namba za usajili T273BKB.
Kamanda Katabazi amesema katika msako wamekamata vifaa mbalimbali vya kuvunjia, TV sita  na redio saba ,ambazo zinadaiwa kuwa mali za wizi.

You Might Also Like

Tanesco yashauriiwa kuendeleza kasi

Sh. Bilioni 883.93 Zatumika Kutekeleza Miradi ya Maji, Usafi wa Mazingira

Katambi Aagiza Ushindani Wa Haki Ili Kulinda Bei, Walaji

Ridhiwan Atembelewa Na Watendaji NMB

Rais Samia Afungua Barabara Ya Mbinga-Mbamba Bay Yenye Km 66-Ruvuma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanafunzi UDSM, MUM Kushiriki Fainali Ya Kimataifa Mashindano Ya Chinese Brigde
Next Article Senyamule Ahamasisha Ushiriki Wa Vijana Katika Uchaguzi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?