MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: MNH Kuvuna Mifupa Kutengeneza Taya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > MNH Kuvuna Mifupa Kutengeneza Taya
Habari

MNH Kuvuna Mifupa Kutengeneza Taya

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA:HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imeanzisha huduma ya kuvuna mifupa ya mbavu na nyonga kwa ajili ya kutengeneza taya ya chini ambapo gharama yake itakuwa Sh.Milioni 6.2.
Mkurugenzi huduma ya Upasuaji Muhimbili, Dkt.Rachel Mhavile amesema hayo wakati wa kutoa taarifa ya mafanikio kwa miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa waandishi wa habari katika ukumbi wa Habari Maelezo Jijini Dodoma.
Amesema  huduma hiyo ni mpya katika hospitali za Umma nchini na itasaidia kuimarisha taya ya chini, mifupa hiyo itavunwa kwa mgonjwa mwenyewe baada ya kufanyiwa vipimo na kuona ni jinsi gani inafaa.
Akitoa ufafanuzi juu ya mifupa hiyo amesema kuwa mifupa itavunwa kwa mgonjwa mhusika anayetaka huduma ya kutibiwa taya na pindi atakapokuwa amepatiwa matibabu itakuwa moja kwa moja na siyo ya kutoa na kurejesha.
Pia amesema huduma hiyo itasaidia kutengeneza mizizi bandia ya meno ambayo nayo atawekewa mgonjwa , pia mgonjwa hatapata usumbufu wa kubadilisha mizizi hiyo au taya.
Akizungumzia suala la mafanikio kwa ajili ya watoto wanaozaliwa na tatizo ya kutosikia amesema kuwa Hospitali imeweza kuanzisha huduma ya upasuaji na kuweka vifaa vya kusaidia kusikia.
Amesema kwa sasa watoto 54 wamefanyiwa upasuaji na kuwekewa vifaa vya kuwasaidia kusikia kwa gharama ya Sh.  bilioni 2.3 kwa wote na kusaidia kuokoa kiasi cha shilingi Bilioni nne kama wangeenda kutibiwa nje ya nchi.
Amesema huduma hiyo ya upasuaji kwa watoto ni kati ya watoto wa siku moja hadi miaka mitano ambao uchunguzwa na madakitari bingwa na bobezi ambao ni wazawa.

You Might Also Like

ATCL Yaanzisha Safari Za Moja Kwa Moja, Dubai Na Zanzibar

MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15

Ofisi Ya Mwandishi Mkuu Wa Sheria Yakamilisha Rasimu Ya Sheria 446 Kwa Lugha Ya Kiswahili

TPHPA, KEM Wasaini Hati Ya Makubaliano Udhibiti Viuatilifu

Dada wa kazi aliyejeruhi akamatwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MOI Yaeleza Sababu Viungo Bandia Kuuzwa Kwa Bei Kubwa
Next Article BUWSSA Yapewa Bilioni 28 Kutatua Tatizo La Maji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?