MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mfumo Uendeshaji Mashauri Kidigitali Kwa Watumishi wa Umma Uharakishwe
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mfumo Uendeshaji Mashauri Kidigitali Kwa Watumishi wa Umma Uharakishwe
Habari

Mfumo Uendeshaji Mashauri Kidigitali Kwa Watumishi wa Umma Uharakishwe

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu
CHAMA Cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU) kimeshauri kuharakishwa kwa mfumo wa uendeshaji na usimamizi wa mashauri kwa njia ya mtandao ( OCMS) kwa watumishi wa umma wa serikali kuu jambo litakalowezesha haki kupatikana Kwa wakati.

Kaimu Katibu Mkuu wa TRAWU,Edo Makata amesema hayo Dar es Salaam wakati akitoa maoni katika mfumo wa OCMS unaoratibiwa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi(CMA) wa kuangalia masuala ya usuluhishi na upatanishi Kwa wafanyakazi.

Amesema mfumo huo Kwa CMA umekuja kwa wakati muafaka ambao nchi Iko Kwenye mpito wa migogoro ya wafanyakazi mahali pa Kazi katika suala zima la kuhakikisha haki inapatikana.

” Ni mfumo unaoweza kusaidia watu wengi ambao wanapata migogoro mahali walipo na kuepuka gharama za kufika CMA Kwa wakati asiokuwa na fedha,” amesema.

Amesema pamoja na manufaa yake lakini eneo la Tume ya Utumishi wa Umma linalohusikana na sheria za kazi za Umma lisiachwe.

Amesema mfumo wa OCMS umegusa sana sekta binafsi kwani ndio zinaangukia katika Tume ya CMA lakini watumishi wa umma kwemye vyama vya wafanyakazi kupitia ShirikishonlanVyama vya Wafanyakazi (TUCTA) wengi wao wako Serikali kuu.

Amesema kundi hilo linaangukia kwemye Tume ya Utumishi wa Umma ambao wanatumia Sheria za Utumishi wa Umma ambazo zina utofauti wake pia zenyewe mfumo huo uende kule kwa sababu kuna shida namna ya utoaji haki.

“Katika hali ya kuharakisha na kuifanya nchi iwe ni yenye kutoa haki kwa wakati suala hilo lizingatiwe,” amesema.

Ameongeza kuwa zipo kesi zinazokwenda hadi miaka 31 wakati huohuo mlalamikaji aliifungua akiwa na miaka 40 na kesi inapokwenda kwa miaka yote hiyo hufikia wakati mlalamikaji akiwa amefikia umri wa kustaafu na pengine kuondoka na hata kuingia umri wa uzee akiwa hajapata au kunyimwa haki yake.

Alitoa pongezi kwa CMA kwa hatuabwaliyofikia na kutaka elimu zaidi kuhusu mfumo huo iende Kwa wadau.

You Might Also Like

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira

Wazalishaji, Waagizaji Mbolea Watakiwa Kuzingatia Afya ya Udongo kwa Tija ya Kilimo

Tume ya Kurekebisha Sheria Yatoa Onyo Kali kwa Wanaovunja Sheria za Umwagiliaji

Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 

Kapinga Ahamasisha Wananchi Kushiriki Uchaguzi Serikali Ya Mtaa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia aipongeza TPHPA, kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi, Watendaji
Next Article Ujenzi Miundombinu ya Kuongeza Udahili kipaumbele Cha Serikali
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
Ofisi ya Rais Mipango Yaomba Bilioni 144.85 kwa Bajeti 2026/27
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?