MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Luswetula Aagiza Udhibiti Mkali wa Mikopo Kandamizi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Luswetula Aagiza Udhibiti Mkali wa Mikopo Kandamizi
Habari

Luswetula Aagiza Udhibiti Mkali wa Mikopo Kandamizi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
NAIBU Waziri wa Fedha, Laurent Luswetula, amezitaka mamlaka husika ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuimarisha udhibiti wa sekta ya fedha ili kuwalinda wananchi dhidi ya mikopo kandamizi inayotolewa na taasisi zisizo rasmi, maarufu kama mikopo kausha damu.
Agizo hilo amelitoa wakati wa uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea mkoani Tanga.
Amesema udhibiti madhubuti utasaidia kuzibaini taasisi na watu binafsi wanaotoa mikopo hiyo na kuchukua hatua za kisheria dhidi yao, hivyo kuzuia wananchi kupoteza mali na vitu vya thamani.
Luswetula aliwaonya watoa huduma za fedha wanaokiuka sheria, ikiwemo kufanya kazi bila kusajiliwa na BoT au mamlaka nyingine husika, kuacha mara moja vitendo hivyo.
Habari Picha 10880
Aidha, amewahimiza wananchi kuhakiki uhalali wa taasisi kabla ya kukopa na kusoma kwa makini mikataba ya mikopo ili kuepuka masharti kandamizi.
Akizungumzia sekta ya fedha, amesema kumekuwepo na mafanikio baada ya maboresho yaliyofanyika, ingawa bado changamoto ya uelewa mdogo wa masuala ya fedha ipo, ikiwemo matumizi ya huduma zisizo rasmi.
Amewahimiza wananchi kushiriki kikamilifu maadhimisho hayo katika viwanja vya Usagara, Tanga, kupata elimu ya fedha na huduma sahihi kama kuweka akiba, kukata bima na kuwekeza.
Habari Picha 10881
Pia amewataka waelimishaji wa masuala ya fedha kutoa elimu kwa lugha rahisi na kuzingatia maoni ya wananchi ili kuboresha sera na huduma za kifedha nchini.

You Might Also Like

Tanzania Yaongeza Kasi ya Utafutaji Masoko ya Parachichi Ulaya

Taasisi za Elimu Geita Zatakiwa Kuanza Programu ya Maziwa Shuleni

Tunatekeleza Azma YA Rais Samia Kuwafikia Wananchi Waliojiajiri

Waziri Mkuu Majaliwa Amwakilisha Dkt.Mpango Mahafali Ya 43 OUT

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkurugenzi Mkuu Wa NSSF Aongoza Utoaji Wa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii Soko La Tegeta Nyuki
Next Article Wizara  Ya Maliasili Na Utalii Ilivyotamba Na Historia Ya Faru John Na Faru Fausta Mbele Ya Kamati Ya Bunge
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tanzania Yajikita Katika Ushirikiano wa Kikanda Kuhusu Maji
Habari March 25, 2026
TPHPA Yazidisha Ulinzi wa Mazao, Kudhibiti Magonjwa ya Viazi, Funza Weupe
Habari March 25, 2026
Katibu Mkuu Mwajuma Atunukiwa Tuzo, Ahimiza Mshikamano Sekta ya Maji
Habari March 24, 2026
Dkt. Nchimbi Azindua Mfumo Mpya wa Utabiri wa Kiasi cha Maji Morogoro
Habari March 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?