MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Taasisi za Elimu Geita Zatakiwa Kuanza Programu ya Maziwa Shuleni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Taasisi za Elimu Geita Zatakiwa Kuanza Programu ya Maziwa Shuleni
Habari

Taasisi za Elimu Geita Zatakiwa Kuanza Programu ya Maziwa Shuleni

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: MKUU wa Wilaya ya Geita, Hashim Komba, amezitaka taasisi za elimu mkoani Geita kuanzisha programu maalum ya utoaji wa maziwa shuleni ili kuongeza kasi ya unywaji wa maziwa miongoni mwa wanafunzi.
Komba amesema hayo alipozungumza katika  Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Unywaji Maziwa Shuleni kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Martine Shigela.
Habari Picha 9573
Komba amesema ni muhimu programu hiyo ikatekelezwa sambamba na mpango wa lishe shuleni kwa lengo la kuboresha afya za wanafunzi.
Amewataka Maofisa Elimu wa mkoa kujipanga kutekeleza mpango huo huku akiwaasa wazazi na walezi kuhakikisha maziwa yanapatikana katika familia ili kuendeleza utamaduni wa unywaji wa maziwa.
Naye Mwakilishi wa Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania, Deorinidei Mng’ong’o, amesema jumla ya lita 240 za maziwa zimesambazwa kwa wanafunzi wenye uhitaji maalum mkoani Geita, huku wanafunzi 300 kutoka vituo vya kulelea yatima wakinufaika na mpango huo.
Habari Picha 9574
Mpaka sasa Bodi hiyo chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi imefika mikoa 11 nchini, ambapo shule 218 na wanafunzi wapatao 120,000 wamefikiwa na programu hiyo ya unywaji wa maziwa shuleni.
Maadhimisho hayo yaliyofanyika mkoani Geita yamebeba kaulimbiu isemayo: ‘Kwa Matokeo Mazuri Shuleni na Afya Bora, Maziwa ndio Mpango Mzima.’

You Might Also Like

Serikali Yaja Na Kanuni Mpya Ya Sheria Ya Fidia   Kuboresha Mazingira Ya Mfanyakazi 

Kabudi Aelezea Mafanikio Ya Wizara Yake

IITA Kuleta Mabadiliko Ya Kilimo Afrika

TEHAMA Kuchochea Uchumi wa Kidijitali, Serikali Yatenga Sh Bil Tano Kwa Kampuni Changa

Uteuzi: Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Brela Yatoa Huduma Zote Za Usajili Katika Maonesho Ya Teknolojia Ya Madini Geita
Next Article Takribani watu 200 Wamepata Ushauri Wa Kibingwa Wa Ubongo, Mifupa 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mradi Wa Umeme Mpomvu-GGM Kuimarisha Upatikanaji Wa Umeme Na Kuchochea Shughuli Za Kiuchumi Geita- Salome
Habari September 4, 2026
Wahitimu 794 Wa Vyuo Vya Elimu Ya Juu Waomba Kujiunga VETA
Habari September 4, 2026
Taka za saluni zageuka dhahabu ya kijani: COSTECH yamulika safari ya David kutoka wazo hadi hataza
Makala September 4, 2026
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wakazi Wa Kisiwa Cha Jibondo Mafia
Habari September 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?