MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Katambi aitaka BRELA kuharakisha urasimishaji wa biashara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Katambi aitaka BRELA kuharakisha urasimishaji wa biashara
Habari

Katambi aitaka BRELA kuharakisha urasimishaji wa biashara

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, ameutaka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kuboresha utoaji wa huduma kwa kuhakikisha hauwi kikwazo kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, bali unachochea urasimishaji wa biashara na ukuaji wa uchumi.
Akizungumza wakati wa ziara yake katika ofisi za BRELA, Katambi amesema wawekezaji wanaokidhi masharti ya kisheria wanapaswa kupewa mwongozo wa haraka na sahihi, badala ya kukumbana na urasimu unaokwamisha juhudi zao.
Amesisitiza pia umuhimu wa wakala huo kutoa elimu kwa umma kuhusu huduma zake ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi.
Katambi ameeleza kuwa serikali inaweka mkazo mkubwa kwa ajira za vijana, hivyo sekta ya viwanda na biashara zinapaswa kuwa mhimili muhimu wa kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira na kuongeza mchango wake katika pato la taifa.
Aidha, ameitaka BRELA kufanya tathmini ya kampuni zote zilizosajiliwa ili kubaini zinazofanya kazi na zisizofanya kazi, pamoja na kuboresha mifumo ya huduma kwa wateja kwa kuwashirikisha wahudumu na kutumia lugha yenye staha.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Miliki na Ubunifu wa BRELA, Loy Mhando, amesema wakala huo utazingatia maelekezo yote yaliyotolewa kwa lengo la kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini.

You Might Also Like

Elimu ya Ufundi Yachangia Maendeleo ya Taifa – VETA

Wanawake Taasisi za Kitafiti Watoa Furaha Kwa Waliojifungua, Madaktari, Manesi Kawe Kituo Cha Afya

Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo

Rafiki Planter’Teknolojia Rahisi, Tija Kubwa”

Asali inayozalishwa nchini kukidhi ubora wa kimataifa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Katambi Awataka CBE Kutoa Elimu Yenye Ushindani Kimataifa
Next Article Katambi Ahimiza Udhibiti wa Bidhaa Duni, Jamii Yatakiwa Kutumia Huduma za TBS
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?