MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jafo Ahoji Fedha Za Ujenzi Barabara Ya Mzenga – Kisarawe
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jafo Ahoji Fedha Za Ujenzi Barabara Ya Mzenga – Kisarawe
Habari

Jafo Ahoji Fedha Za Ujenzi Barabara Ya Mzenga – Kisarawe

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MBUNGE wa Kisarawe (CCM), Seleman Jafo, amehoji mpango wa Serikali wa kutenga fedha kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara ya Mzenga–Kisarawe yenye urefu wa kilometa 70 kwa kiwango cha lami.
Jafo amesema barabara hiyo ni muhimu kwa wananchi wa Kisarawe kwani itachochea ukuaji wa uchumi kwa wakazi wa Mkoa wa Pwani na maeneo ya jirani.
Aliuliza swali hilo bungeni kwa Wizara ya Ujenzi wakati wa kipindi cha maswali na majibu.
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya, alisema Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara hiyo.
Kasekenya alisema Serikali imeshatambua umuhimu wa barabara hiyo na itaendelea kuitengea fedha kadri zitakavyopatikana hadi ujenzi wake ukamilike kwa kiwango cha lami.
“Tutaendelea kuongeza fedha kadri zitakavyopatikana ili kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo kutokana na umuhimu wake,” alisema Kasekenya.
Katika swali la msingi, Mbunge wa Kibaha Vijijini (CCM), Hamoud Jumaa, alitaka kujua mpango wa Serikali kuhusu ujenzi wa barabara ya Chalinze–Gwata–Magindu–Mpalu–Utete–Rufiji–Tumbi–Boko–Sofa na Korogwe–Sofa.
Akijibu swali hilo, Kasekenya alisema taratibu za manunuzi zinaendelea ili kumpata mshauri atakayefanya kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa ajili ya ujenzi wa barabara mpya ya Chalinze hadi Utete yenye urefu wa kilometa 354.9 kupitia Bwawa la Julius Nyerere (NHPP).
Aliongeza kuwa usanifu huo unajumuisha kipande cha barabara ya Chalinze hadi Magindu chenye urefu wa kilometa 22.61.
Baada ya kazi za usanifu kukamilika na gharama za ujenzi kujulikana, Serikali itatafuta fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara hiyo.

You Might Also Like

Askari Wawili wa JWTZ Wafariki, Wanne Wajeruhiwa DRC

Mtafiti UDSM Atafiti Mimea Ya Asili Kudhiti Fangasi Kwenye Mimea

Samia ashiriki mashindano ya dunia ya Quran

Mkunda: Tumekusudia Kuongeza Wanachama, Tuwe Na Sauti Kubwa

Waziri Mkuu Kumwakilisha Dkt Samia Ivory Coast

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Hakuna Mabadiliko Ya Vituo Vya Kazi Kwa Watumishi Wapya Wa Umma Kwa Sasa -Kikwete
Next Article Serikali Yachukua Hatua Madhubuti Kukuza Ajira kwa Wahitimu wa Vyuo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TPHPA Yatumia Mbinu za Kibaiolojia Kudhibiti Gugu Ziwa Victoria
Habari May 24, 2026
Wizara Ya Viwanda Kutekeleza Vipaumbele Saba, Ipo  Miradi Ya Viwanda Ya  Kimkakati
Habari May 22, 2026
Biashara 15 Hazitakiwi Kufanywa Na Wageni Ndani Ya Nchi
Habari May 22, 2026
Wadau wataka mifumo jumuishi kupunguza mzigo wa malezi kwa wenye ulemavu
Habari May 21, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?