MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Huduma Ya Kupandikiza Uume Benjamin Mkapa Sh mil 10
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Huduma Ya Kupandikiza Uume Benjamin Mkapa Sh mil 10
Habari

Huduma Ya Kupandikiza Uume Benjamin Mkapa Sh mil 10

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu, Dodoma

HOSPITALI ya Benjamini Mkapa (BMH) iliyoko mkoani Dodoma ni ya kwanza nchini kutoa huduma ya kupandikiza uume na tangu mwaka 2023 watu 14 wamepatiwa huduma hiyo hali inayosaidia kupunguza changamoto ya ndoa kuvunjika.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa BMH, Dkt Abdallah Baja amesema hayo wakati akizungumza na waandishi na wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), waliofanya ziara katika hospitali hiyo kujionea ujenzi wa miundombinunya kisasa pamoja na huduma bobezi zitolewazo hapo.

Habari Picha 12647

Kuhusu kupandikiza uume amesema gharama za mtu mmoja ni sh milioni 10 ambapo wanapandikiza kwa kuweka virutubishi (e plants) ambapo mgonjwa huweza kutumia kiungo hicho kwa ufanisi zaidi.

“Virutubisho hivyo ni vya wakati wote wa uhai wa mhusika na huwezesha kufanya kazi kwa ufanisi namkwa muda kidogo kuongezeka,” amesema .

Kuhusu huduma nyingine zitolewazo hospitalini hapo, amesema zipo za kibobezi na za kibingwa ikiwa nimpamoja na upasuaji wa nyonga,ubongo na uloto.

Amesema hospitali hiyo iliyoanzishwa 2015 hadi sasa ina vitanda 40 lakini mategemeo ni kuwa na vitanda 600 na kwa siku huona zaidi ya 1200 na imekuwa hospitali bora ya kanda inayotoa huduma bora.

Habari Picha 12648

Amesema BMH ni hospitali ya kwanza kupandikiza uloto na ya pili kwa upandikizaji Figo kwa kwa ukanda wa Afrika Mashariki,ni hospitali ya pili kufanya upasuaji wa moyo kwa watoto na ya pili nchini kuweka pace marker na ya kwanza ya serikali kufanya upasuaji wa macho.

Aidha amesema ni hospitali ya kwanza kutoa huduma ya kuwafikia wananchi na kwamba ina magari matatu ambayo kwa sasa yanatoa huduma nchini Malawi na tayari Burundi imetoa huduma hiyo.

Habari Picha 12649

You Might Also Like

Ridhiwani: Ili Kufikia Muafaka Masuala Ya Kazi, Serikali Inahimiza  Vyombo Vya Mashauriano

Awamu Ya Pili Uboreshaji, Uwekaji Wazi Wa Dafatri La Wapiga Kura Kuanza Mei

Makala: Hakuna Kupita Bila Kupingwa

Uwekezaji wa TIB Wachangia Kuongezeka kwa Ajira

Kigae: Mwigulu Waziri Mkuu Mahiri

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waziri Sangu Awataka Waajiri Kutumia Fursa ya Msamaha wa Tozo wa NSSF
Next Article Benjamin Mkapa Yaanzisha Mfuko Kuchangia Wagonjwa Wa Upandikizaji Figo,Uloto Wasiokuwa Na Uwezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Benjamin Mkapa Yaanzisha Mfuko Kuchangia Wagonjwa Wa Upandikizaji Figo,Uloto Wasiokuwa Na Uwezo
Habari June 26, 2026
Waziri Sangu Awataka Waajiri Kutumia Fursa ya Msamaha wa Tozo wa NSSF
Habari June 26, 2026
PPRA Yahimiza Makundi Maalum Kunufaika na Zabuni za Serikali
Habari June 25, 2026
VETA  Yapongezwa Kwa Kuibua Vipaji Kwa Vijana  
Habari June 24, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?