MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Benjamin Mkapa Yaanzisha Mfuko Kuchangia Wagonjwa Wa Upandikizaji Figo,Uloto Wasiokuwa Na Uwezo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Benjamin Mkapa Yaanzisha Mfuko Kuchangia Wagonjwa Wa Upandikizaji Figo,Uloto Wasiokuwa Na Uwezo
Habari

Benjamin Mkapa Yaanzisha Mfuko Kuchangia Wagonjwa Wa Upandikizaji Figo,Uloto Wasiokuwa Na Uwezo

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu,Dodoma

KATIKA Kuadhimisha miaka 10 tangu kuanza kwa hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)  iliyoko mkoani Dodoma, imepanga kurudisha tabasamu kwa wagonjwa wa Figo na uloto, wasiokuwa na uwezo ambapo inaitaka jamii kuchangia mfuko wa upandikizaji magonjwa hayo ili wagonjwa wapatiwe huduma.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa BMH, Dkt Abdallah Baja amesema  hayo wakati wahariri wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) walipofanya ziara katika hospitali hiyo kujionea huduma bobezi na za kibingwa zitolewazo hapo.
Habari Picha 12656
Akizungumza amesema gharama za matibabu kwa magonjwa hayo ni kubwa, na ili kupanua huduma hizo kwa wasiokuwa na uwezo yapasa wananchi kuchangia mfuko huo kuwezesha wahitaji kupata huduma.
Amesema kwa gharama za kupandikiza uloto hospitalini hapo ni sh milioni 75 kwa mgonjwa mmoja huku upandikizaji wa Figo ukigharimu sh milioni 45, gharama ambayo wananchi wa kawaida ni ngumu kuzifikia lakini kwa kuchangia mfuko huo utawezesha wengi kufikiwa na huduma.
Habari Picha 12657
Alitaja namnamya kuchangia mfuko huo kuwa ni kwa kutuma fedha kupitia namba986930000001 BMH Organ, na wagonjwamwataweza kufikiwa na huduma hiyo
Habari Picha 12658

You Might Also Like

Ridhiwan Kikwete awasilisha taarifa mwenendo wa ulipaji mafao

Wanafunzi 571 watunukiwa Stashahada Na Astashaha Za Vyuo Vya Polisi

UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa

Chuo Cha VETA Chazindua Mradi Wa Biogas

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Huduma Ya Kupandikiza Uume Benjamin Mkapa Sh mil 10
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Huduma Ya Kupandikiza Uume Benjamin Mkapa Sh mil 10
Habari June 26, 2026
Waziri Sangu Awataka Waajiri Kutumia Fursa ya Msamaha wa Tozo wa NSSF
Habari June 26, 2026
PPRA Yahimiza Makundi Maalum Kunufaika na Zabuni za Serikali
Habari June 25, 2026
VETA  Yapongezwa Kwa Kuibua Vipaji Kwa Vijana  
Habari June 24, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?